Wanaopinga Ushoga, Wanapinga nini Haswa?

Wanaopinga Ushoga, Wanapinga nini Haswa?

ushoga ni kinyume na akili za kibinadamu.wanyama,ndege na wadudu hawafanyi!Kwa yeyote aliyezaliwa na baba (mwanaume)na mama(mwanaume) na awe wakwanza kudai haki ya kuzaliwanayo,ushoga.
 
Wala sio hamaki au hasira, wewe jiulize tu pale tundu la mavi linapogeuzwa kuwa kigegedo halafu utegemee watu wawe kimya...

Tatizo unahamaki, inaelekea una Hasira sana, angalia usije ukajiua Tu, Siku Ushoga ukibisha Hodi Nyumbani kwako!
 
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?

Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?

Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?

Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!



Kwahiyo tuwaache eti?
 
Wanaume ndio chanzo cha yote. Kila tundu tunataka kupitisha tupu zetu. Tuliumbiwa mbele, tukahamia nyuma sasa hivi tuko mdomomi na muda sio mrefu tutahamia masikioni trust me.
 
Kwa hoja yako inaonesha unakubali ushoga na kama unakubali ushoga unaukubali kwa vigezo vipi?viweke hapa halafu na sisi tukueleze tunaupinga kwa nini?
Mimi ni mmoja wa wapinga ushoga tena kwa dhati kabisa ila kwa wanafiki kama wewe napendelea wanapojifafanua kwanza ndipo nawaelekeza.
 
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?

Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?

Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?

Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!
https://www.youtube.com/watch?v=RmSggYqp-6A
 
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?

Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?

Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?

Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!

Dah hyo aunty mudi ni wazaman sana kafa cku nyng....umenikumbusha tulivyokuwa tunamshangaa
 
JIHAD YA WAiSLAM IHAMIE KWA "MASHOGA" BADALA YA WAAMINI MOLA WENZAO

Kila dini kuna mashoga , kunashoga , shelkh , padri, waziri, mbeba zege, mkaanga chipsi, baunsa
daktari, mwanasheria, mwanajeshi , polisi yaani mapaka Gaidi , shoga yupo
 
Kwa hoja yako inaonesha unakubali ushoga na kama unakubali ushoga unaukubali kwa vigezo vipi?viweke hapa halafu na sisi tukueleze tunaupinga kwa nini?
Mimi ni mmoja wa wapinga ushoga tena kwa dhati kabisa ila kwa wanafiki kama wewe napendelea wanapojifafanua kwanza ndipo nawaelekeza.

Hunajipya , haki ni haki tu
 
Wanaume ndio chanzo cha yote. Kila tundu tunataka kupitisha tupu zetu. Tuliumbiwa mbele, tukahamia nyuma sasa hivi tuko mdomomi na muda sio mrefu tutahamia masikioni trust me.

Pointi safiiiiiiii
 
Kwa hiyo kinachopingwa ni kuhalalishwa tu, siyo?

Kwa hiyo kama ushoga upo tusiupige vita!? Kama UKIMWI upo tusiupige vita, kama ujambazi upo siku nyingi tusiupige vita kwa kadri ya maelezo yako..!?
 
Kila dini kuna mashoga , kunashoga , shelkh , padri, waziri, mbeba zege, mkaanga chipsi, baunsa
daktari, mwanasheria, mwanajeshi , polisi yaani mapaka Gaidi , shoga yupo

Wewe upo kwenye fani kati ya hao..!?
 
ushoga ni kinyume na akili za kibinadamu.wanyama,ndege na wadudu hawafanyi!Kwa yeyote aliyezaliwa na baba (mwanaume)na mama(mwanaume) na awe wakwanza kudai haki ya kuzaliwanayo,ushoga.

Kwani wakifanywa na wewe huwaunawashwa nini
 
Kwa hiyo kama ushoga upo tusiupige vita!? Kama UKIMWI upo tusiupige vita, kama ujambazi upo siku nyingi tusiupige vita kwa kadri ya maelezo yako..!?

Kosa la shoga nini kwani wakifanyanaa na wewe mku,,, d , u , unakuwashaga nini
 
Kwa hoja yako inaonesha unakubali ushoga na kama unakubali ushoga unaukubali kwa vigezo vipi?viweke hapa halafu na sisi tukueleze tunaupinga kwa nini?
Mimi ni mmoja wa wapinga ushoga tena kwa dhati kabisa ila kwa wanafiki kama wewe napendelea wanapojifafanua kwanza ndipo nawaelekeza.

Pontless, huna sababu ya kupinga haki ya mtu, asiyekuhusu
 
Kosa la shoga nini kwani wakifanyanaa na wewe mku,,, d , u , unakuwashaga nini

Hapa naona najibizana na shoga aliye kubuhu , hongera Bhanunu kwa kukamata na kuitumia fursa iliyo nyuma yako.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom