Tukubali tukatae ushoga na mashoga wapo/vipo ndani ya jamii yetu kama ilivyo kwa uzinzi,ulevi mateja nk, mtoa mada ameeleweka vibaya sio kwamba anatetea hayo au na yy ni shoga nakataa, tunapinga ushoga sawa lkn ndani ya jamii zetu dini zote mashoga, makahaba,mateja,walevi, wauza unga na watenda maovu mengi yamchukizayo mwenyezi mungu na jamii nzima wapo ndani yetu, kama kweli tunataka jamii yenye kumfuata mungu tuanze ndani ya familia zetu tuwaokoe waliopotoka Katika nyanja zote sio kinafiki tunajifanya hadharani tunapinga ushoga lkn tunafanya kinyume na maumbile na mademu tunaobeba barabarani, tunateketeza jamii kwa kuwauzia cocaine na mengine mengi, sihitaji matusi tujadili kwa hoja , nawasilisha