Wanaopinga Ushoga, Wanapinga nini Haswa?

Wanaopinga Ushoga, Wanapinga nini Haswa?

Tatito hauelewi String Theory ni nini, ndio maana unakurupuka, ngoja nikupe Mwanga String theory ni ni Moja kati ya Matawi Mapya ya Fizikia na wala haihusiani na Ushoga, bali inajaribu kuelezea kuhusu Ulimwengu, yaani umetokana na nini, wanajaribu kutafuta Majibu ya Maswali kama kwa nini tuko hapa na tumetokea wapi...
sasa hiyo string theory ndo inakwambia wanadamu wanatoka makalioni. Unakera na utetezi wako kwa masuala ambayo ni aibu kwa jamii nzima! Shame on you the advocate of evil!
 
Je? Utakuwa ndio ufumbuzi wa tatizo , au mbona sodoma naGomorrah Mungu aliwaangamiza ,
lakini badoo wapo , sasa basi huwezi tatua kwa njia hiyo tumia busarah , na hekima utafika

Sasa naanza kuamini kuwa una matatizo makubwa mno, umefikia kumkosoa Mungu kuwa hukumu aliyoitoa kwa Sodoma na Gomora alikosea..!
 
Mkuu Ushoga sio maradhi! Sitaki kuamini kwamba mtu ukiambukiza watu ukimwi huwapi madhara naamini unafahamu maradhi ya ukimwi yanavotesa watu either labda uwe umechanganya kupinga vita ya ukimwi na kunyanyapaa mgonjwa wa ukimwi!!

It seems that you're obssessed with this gay thing.
 
Kumbe ni ndaga kyala ....."niangusage mwenyewe na sambi sako mwenyewe"
 
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?

Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?

Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?

Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!

Wewe endelea kukung'utwa, umesharibika hata ukipelekwa kwa mganga kazi bure
 
Hapawezi kuwa na Anti kama hakuna Basha,,,,

dah sijui nikusaidie vipi???
Embu niambie tatizo lako nini hasa unasupport ushoga na kushiriki au unawasuport lakini hushiriki,tuanzie hapa kwanza
 
dah sijui nikusaidie vipi???
Embu niambie tatizo lako nini hasa unasupport ushoga na kushiriki au unawasuport lakini hushiriki,tuanzie hapa kwanza

Na suport ndio lakini sishiriki ,na wala sihamasishi , waliopo wakubaliwe , na kama unawapinga basi ,
Busara itumike sio kuwachoma moto , kuwafunga jela , kuwazomea, nakuwapiga .
 
Wanaume wakiacha kutengeneza mashoga hawatakuwepo. Tatizo la ushoga linaanza na baadhi ya tabia za wanaume. Ushoga hauwahusu wanawake ingawa ni watoto wao. Mashoga si watu wa hatari kama mabasha, maana mabasha ndio wanaotesa mpaka wanawake. Uzuri/ubaya wanaopinga ushoga kwa kelele kubwa ndio kiwanda chao
 
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?

Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?

Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?

Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!

Ndugu unatutia mashaka....wewe ni Shoga au Basha?

Sababu zipo!!

Wazazi wao wangekuwa mashoga wao wangezaliwa?

Matendo yote machafu yapo na yanatendwa kwa kificho na kwa ridhaa na risk zao wenyewe LAKINI kutamka VITENDO hivyo vitambuliwe kisheria ndio KOSA kuu linalopingwa

Lastly naomba nifahamishe WANYAMA wanaofanya USHOGA

Kama hamna basi tambua tendo hilo ni zaidi ya unyama ni UHAYAWANI

Stop asking non#####!

*****Muogope Mungu*****
 
Safi sana anatakiwa ajue kuwa hata shetani kapewa limit hajaachiwa huru kama hawa mashoga wanavyotaka. Wao wanaufurahia huu mchezo wa kuchezewa makalio yao pamoja na mindevu yao na vifua vyao vipana.

Hivi shetani hutungiwa sheria ya kuzuia mambo yake? Mie nadhani ni suala la kutaka umaarufu tu wa kisiasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom