Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?
Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?
Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?
Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!
Hunajipya , haki ni haki tu
Hapa naona najibizana na shoga aliye kubuhu , hongera Bhanunu kwa kukamata na kuitumia fursa iliyo nyuma yako.
Hunajipya , haki ni haki tu
Kabla sijaanza kukushushia kipondo nataka kujua jee na wewe ni miongoni mwa mashoga au ni mtetezi wao?
Mimi sio shoga ni mpigania haki na mtetezi , mpaka kufaaa
Hahahahahaaaa...!!!!! unapigania haki yako ya kuingizwa dudu nyuma..! dah.. hakyanani lazima mzazi wako ailaani siku aliyoingia labor na kushukuru Mungu amepata mtoto mume only to learn a bitter truth today that her son is crying hard to get people f....cking him from the behind.
Usijidanganye na usiudanganye umma kuwa wewe sio shoga, utatetea vipi kitu usichoamini kwacho. Indeed you have a problem son, a big problem. Na kama ulivyosema utatetea mpaka kufa, you'll surely die. I pray that you get unchained from what is in control of you.
You're trying to divert the reality, am not a Gay(bottom or top) am straight
I quit.. I won't argue with you anymore but I'm praying for you to get out of that possession, Kuna wakati mtu unaweza ukajua uko sahihi na unafanya kitu sahihi kumbe umeshikwa na kuna na nguvu iliyokuzidi na imekuaminisha kuwa uko sahihi na wote wanaokupinga wamepotoka na hawauoni ukweli unaouona wewe. At that point is where divine intervention becomes the only and only solution.
Sunctify ur self , and pray for u r soul,sake, am holly and submitted to my GOD,
Jililieni nyinyi na watoto wenu
Naamini mzazi wako atalia na kujilaani sana atakapogundua kitu ambacho mwanae anakipenda, anakiamini na yuko tayari kukipigania hadi kufa. being a parent, namhurumia sana.
Mimi sio shoga ni mpigania haki na mtetezi , mpaka kufaaa
And that GOD of yours...! Has really got hold of you.
Pigania haki za machangudoa au wanakuharibia soko
Kwa hiyo mashoga wameisha au unaongea pumba
Kange nghafu fijo , kikolo