Wanaopinga Ushoga, Wanapinga nini Haswa?

Wanaopinga Ushoga, Wanapinga nini Haswa?

Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?

Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?

Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?

Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!

Si utuambie tu kama na wewe ni mmoja wao maana wewe unachotaka watu wakae kimya uhalifu unapofanyika
 
Hunajipya , haki ni haki tu

Hahahahahaaaa...!!!!! unapigania haki yako ya kuingizwa dudu nyuma..! dah.. hakyanani lazima mzazi wako ailaani siku aliyoingia labor na kushukuru Mungu amepata mtoto mume only to learn a bitter truth today that her son is crying hard to get people f....cking him from the behind.
 
Last edited by a moderator:
Mimi sio shoga ni mpigania haki na mtetezi , mpaka kufaaa

Usijidanganye na usiudanganye umma kuwa wewe sio shoga, utatetea vipi kitu usichoamini kwacho. Indeed you have a problem son, a big problem. Na kama ulivyosema utatetea mpaka kufa, you'll surely die. I pray that you get unchained from what is in control of you.
 
Hahahahahaaaa...!!!!! unapigania haki yako ya kuingizwa dudu nyuma..! dah.. hakyanani lazima mzazi wako ailaani siku aliyoingia labor na kushukuru Mungu amepata mtoto mume only to learn a bitter truth today that her son is crying hard to get people f....cking him from the behind.

You're trying to divert the reality, am not a Gay(bottom or top) am straight
 
Usijidanganye na usiudanganye umma kuwa wewe sio shoga, utatetea vipi kitu usichoamini kwacho. Indeed you have a problem son, a big problem. Na kama ulivyosema utatetea mpaka kufa, you'll surely die. I pray that you get unchained from what is in control of you.

Sunctify ur self , and pray for u r soul,sake, am holly and submitted to my GOD,
 
kwa tanzania hii ushoga usipohalalishwa watajinyonga wengi mm huku mtaani kuna mashiga kibao tunawaona wanajitupa wazi wazi
 
You're trying to divert the reality, am not a Gay(bottom or top) am straight

I quit.. I won't argue with you anymore but I'm praying for you to get out of that possession, Kuna wakati mtu unaweza ukajua uko sahihi na unafanya kitu sahihi kumbe umeshikwa na kuna na nguvu iliyokuzidi na imekuaminisha kuwa uko sahihi na wote wanaokupinga wamepotoka na hawauoni ukweli unaouona wewe. At that point is where divine intervention becomes the only and only solution.
 
I quit.. I won't argue with you anymore but I'm praying for you to get out of that possession, Kuna wakati mtu unaweza ukajua uko sahihi na unafanya kitu sahihi kumbe umeshikwa na kuna na nguvu iliyokuzidi na imekuaminisha kuwa uko sahihi na wote wanaokupinga wamepotoka na hawauoni ukweli unaouona wewe. At that point is where divine intervention becomes the only and only solution.

Jililieni nyinyi na watoto wenu
 
Jililieni nyinyi na watoto wenu

Naamini mzazi wako atalia na kujilaani sana atakapogundua kitu ambacho mwanae anakipenda, anakiamini na yuko tayari kukipigania hadi kufa. being a parent, namhurumia sana.
 
Naamini mzazi wako atalia na kujilaani sana atakapogundua kitu ambacho mwanae anakipenda, anakiamini na yuko tayari kukipigania hadi kufa. being a parent, namhurumia sana.

Kwa hiyo kuwachoma moto, kuwapiga , na kuwafunga , unataka niunge mkono ujinga, sipo tayari
 
Ok ,,, who gave u that authority of judging others, yesu alitetea hata changu doa , poleeeee yako

Hahahaaa.. nimeipokea pole yako mkuu sana Bhanunu. loli imbombo jhilipo.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom