WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Kwann isiweze ndo pakushangaza kenya na uganda kuna nn na hapa kuna nn.kwan uganda nchi ya kiislam mbona wako ois.kama kitu hakina madhara kwa din nyingine sion sababu ya kukatalia.weng wasio waislam hawajui mahakama ya kadh itafanya kaz vp ndo mana weng wanapinga
Umeshaambiwa Tanzania ni sovereign state, haijalishi Kenya na Uganda wao wanafanya nini.Ukiona huko kunakupendeza zaidi, basi unaweza kuhamia huko badala ya kutamani Tanzania ifanye kama wao.