nachasudwa
Member
- May 17, 2015
- 72
- 34
Haswaaaaaa.....wacha wafu wazikane...mwanaume anashinda kijiweni mwanamke anashinda kibarazani anaimba taarabu.
Haswaaaaaa.....wacha wafu wazikane...mwanaume anashinda kijiweni mwanamke anashinda kibarazani anaimba taarabu.
Hao wenye degree ndoa wataisikia tu,watabadilisha wanaume mpaka waote sugu na degree zao!
Kumbe mkio wenye degree mnapiga mahesabu ya kuwafanya chuma ulete.....heheheee yani siku mume wangu akiuona mshahara wangu ajue nimempa sadaka...
Me baba yangu ajipinde kunisomesha halafu we uje udai mshahara kama mlisaidiana vilee...ukiuliza umenioa....
Then tukidai usawa mnakuwa wakali...mwanaume ukitaka kuwa kichwa cha familia basi uwe kichwa katika kila kitu hadi matumizi ya nyumbani....!
Tena hadi nauli ya kwenda kazini umpe mkeo na mshahara usihoji....
mijinaume inayolalamika hovyo imepoteza sifa ya uanaume...shame on them
Mimi nadhani mwanamke anakuwa na tabia fulani kwa jinsi unavyoishi nae
Mwanaume una mamlaka makubwa sana ya kumtengeneza mke awe vipi
Ukiona hayuko kwenye mstari tatizo ni wewe
Wengine huwezi kuwabadili,wanawake wanataka haki sawa,sasa kwenye ndoa ukishaanzisha haki sawa hamwezi kudumu
Ukioa mwenye elimu ndogo atakuheshimu, akupigie magoti mwishowe mtakufa maskini.
Mkuu...matatizo kama haya yanawakuta watu walio less confident
Kutokujiamini kwa mwanaume ni tatizo
Au kuwa na Inferiority Complex ni tatizo
Binafsi mimi nikioa siangalii degree au diploma au darasa la saba
Naangalia tabia ya mtu.....
Kuna wanawake wengi tu ni wasomi na ni wake wazuri tu
Kuna wengine darasa la saba lakini unajuta........
Hii mentality ya kwenye mada hii ni ile ya kumweka mwanamke kama mtumwa na asiye na sauti kwenye familia...Kitu kilichopitwa na wakati
Ukweli ni kwamba mwanamke wa la saba au form 4 ni rahisi kusikiliza ushauri hata asipoutekeleza.
Mi kama mimi siwezi kufanya mwanamke awe mtumwa nitamsikiliza sana,ishu ni kwamba wanawake waliosoma mtazinguana sana na yeye anataka awe kichwa cha nyumba,sasa kwa mwanaume anayejielewa hiyo kitu ni ngumu,nature ya mwanaume ni mwenye msimamo,sasa wote mkikutana mna misimamo yetu tofauti lazima pavurugike
Wenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .
Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu.
Mtazalishwa, mtalea watoto, mtadanganywa na hamtaolewa.
Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.
Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?
Wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.
hawa wenye mi digrii wanasumbua sana.ni wajuaji wabishi na ni much know sana.staki. hata kuwaskia
Kumbe mkio wenye degree mnapiga mahesabu ya kuwafanya chuma ulete.....heheheee yani siku mume wangu akiuona mshahara wangu ajue nimempa sadaka...
Me baba yangu ajipinde kunisomesha halafu we uje udai mshahara kama mlisaidiana vilee...ukiuliza umenioa....
Then tukidai usawa mnakuwa wakali...mwanaume ukitaka kuwa kichwa cha familia basi uwe kichwa katika kila kitu hadi matumizi ya nyumbani....!
Tena hadi nauli ya kwenda kazini umpe mkeo na mshahara usihoji....