Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Kumbe mkio wenye degree mnapiga mahesabu ya kuwafanya chuma ulete.....heheheee yani siku mume wangu akiuona mshahara wangu ajue nimempa sadaka...

Me baba yangu ajipinde kunisomesha halafu we uje udai mshahara kama mlisaidiana vilee...ukiuliza umenioa....

Then tukidai usawa mnakuwa wakali...mwanaume ukitaka kuwa kichwa cha familia basi uwe kichwa katika kila kitu hadi matumizi ya nyumbani....!
Tena hadi nauli ya kwenda kazini umpe mkeo na mshahara usihoji....


Aina hii ya reasoning ndio Maana hamuolewi. Mnazalishwa tuu.
 
Mijianamke inayojikweza kwa kujidai inajua kila kitu na kutaka kujiona yana uwezo sawa na wanaume inapoteza sifa za mwanamke.mwanamke shurti uwe soft na mwenye nidhamu kwa mumeo kama unajidai kichwa ngumu......TUPA KULE akawe mchepuko wa waume za wanawake wanaojitambua

Teh teh kuna mahali jamaa aliandika mwanamke akisoma hadi papuchi yake inaelimika!!!
 
Mimi nadhani mwanamke anakuwa na tabia fulani kwa jinsi unavyoishi nae

Mwanaume una mamlaka makubwa sana ya kumtengeneza mke awe vipi

Ukiona hayuko kwenye mstari tatizo ni wewe

Mkuu wewe unaamini kama mimi ninavyoamini
 
Ukweli ni kwamba mwanamke wa la saba au form 4 ni rahisi kusikiliza ushauri hata asipoutekeleza.

Mi kama mimi siwezi kufanya mwanamke awe mtumwa nitamsikiliza sana,ishu ni kwamba wanawake waliosoma mtazinguana sana na yeye anataka awe kichwa cha nyumba,sasa kwa mwanaume anayejielewa hiyo kitu ni ngumu,nature ya mwanaume ni mwenye msimamo,sasa wote mkikutana mna misimamo yetu tofauti lazima pavurugike

Tatizo ni approach mnayotumia mkuu, mi naamini wanawake karibia wote (la saba sijui digrii) wana mitazamo mingi inayofanana, wana tabia nyingi zinazofafana, na pia wana priorities nyingi zinazofanana wakiwa ktk mapenzi ya kawaida au wakiwa ndoani, sasa ni jukumu la mwanamume kum-mold mke wako awe vile unavyotaka, sasa ukiona umefeli badili approach au ongeza approach juu ya approach nyingine. Sometinmes diplomasia peke yake haiendi. Wasomi wengi wanalewa shule, so kwa diplomasia peke yake unaweza kukwama. Kama jambo ni la muhimu ktk ustawi wa ndoa yetu au familia yenu, lazima kama mwanaume ulilazimishe lifanyike au lisifanyike.

Mwanamke ukimsikiliza asilimia 100 mambo hayaendi mkuu, yakienda ujue mtaangukia mtaroni!! Mungu hakukosea alivyosema sisi ndo tuwaongoze, sema tatizo sisi wenyewe hewa tupu!!
 
Mimi nadhani mwanamke anakuwa na tabia fulani kwa jinsi unavyoishi nae

Mwanaume una mamlaka makubwa sana ya kumtengeneza mke awe vipi

Ukiona hayuko kwenye mstari tatizo ni wewe

Hujui ukisemacho. Wanawake wengine washupavu na wagumukuliko chuma cha reli. Ikilazomisha kumkunja utavunja!
 
Asante shosti. Sasa kama mwanaume amekaa hapo anashangaa na hataki kuongoza maisha na mie ninyooshe miguu tushangae wote? Anyways, mwana ke mwenye akili nae anatamani mwanaume mwenye akili kumzidi, sio ubabe usiokuwa na maana
Mimi nadhani mwanamke anakuwa na tabia fulani kwa jinsi unavyoishi nae

Mwanaume una mamlaka makubwa sana ya kumtengeneza mke awe vipi

Ukiona hayuko kwenye mstari tatizo ni wewe
 
Kumbe mkio wenye degree mnapiga mahesabu ya kuwafanya chuma ulete.....heheheee yani siku mume wangu akiuona mshahara wangu ajue nimempa sadaka...

Me baba yangu ajipinde kunisomesha halafu we uje udai mshahara kama mlisaidiana vilee...ukiuliza umenioa....

Then tukidai usawa mnakuwa wakali...mwanaume ukitaka kuwa kichwa cha familia basi uwe kichwa katika kila kitu hadi matumizi ya nyumbani....!
Tena hadi nauli ya kwenda kazini umpe mkeo na mshahara usihoji....

Kwani yy baba yake hajajipinda kumsomesha.tatizo mnajionaga kuwa mna thamani sana kuliko wanaume.
Mnaolewa ili msaidiwe maisha
 
nimeimiss hii topic mweee hivi ktk kurupushani za ndoa na vyeti vinahitajika???? Viol ???
 
Last edited by a moderator:
nimeimiss hii topic mweee hivi ktk kurupushani za ndoa na vyeti vinahitajika???? Viol ???

Vyeti havihitajiki ila sasa wenzetu mkiwa nazo ni tabu
 
Last edited by a moderator:
sasa we mwenyewe umeishia la pili A!wa degree utamuweza wapi???? hebu muwe mnachukua mnaofanana nao msituletee shombo hapa

Hahahaaaaa!! Dada DEMBA you nailed it, ngoja nami nikasome kumbe tusio na elimu ndio tunadharaulika hivi!!! Khaaah
 
Last edited by a moderator:
Asante shosti. Sasa kama mwanaume amekaa hapo anashangaa na hataki kuongoza maisha na mie ninyooshe miguu tushangae wote? Anyways, mwana ke mwenye akili nae anatamani mwanaume mwenye akili kumzidi, sio ubabe usiokuwa na maana

You said it all King'asti
 
Hahahaaaaa!! Dada DEMBA you nailed it, ngoja nami nikasome kumbe tusio na elimu ndio tunadharaulika hivi!!! Khaaah

Muhasibu sijaona like yako pale kwenye comment yangu no.1126, usiniambie nimeongea pumba ndo maana umepita kimya!!
 
Awe na degree au asiwe nayo akifika kwa kidume lazima atulie ;hapa nilipo sina degree lakini nampango wa kuchukuwa mke mwenye masters na akifika lazima nimtulize na master yake achana na dunia ya mapenzi huwa inapoteza watu mpaka wanaonekana kama madhombi
 
Back
Top Bottom