Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Hivi na wale wanaoinamishwa na wauza magenge, wapaka kucha rangi, mahse boys na gate keepers Wauza samaki mtaani wakati waume zao wako maofisini mchana wana madegree mangapi vile?

hapo kwa wapaka kucha hapo umewagusa graduate wengi sana. Hapo ndipo mnapo pekenyuliwa sana huku ukija kwa mahouse boy ndio usiseme
 
wanawake wasomi kweli ni tatizo.. Wanathamin kaz kuliko ndoa

Ila pesa zao zinapendwa na wanaume suruali! Majukumu mnagawana na mwanaume sawa kwa sawa au pengine mwanamke anatoa pesa home zaidi. Ataacha kuthamini hiyo kazi inayowaweka mjini awahi home kukukanda na machicha ya nazi?! Inahusu?! Halafu ada na rent mtalipa na nini kama sio hela za waifu?!
 
kiukwel mkuu tangu uanzishe huu uzi nimefanya karisechi changu cha kizushi kuanzia majiran zangu mpaka makazn huku, nimeona kuna kaukweli bwana. wasomi imekuwa tabu kidogo kwny mambo ya ndoa,ndoa zao adimu kama kibogoyo kula indi la kuchoma.
 
kiukwel mkuu tangu uanzishe huu uzi nimefanya karisechi changu cha kizushi kuanzia majiran zangu mpaka makazn huku, nimeona kuna kaukweli bwana. wasomi imekuwa tabu kidogo kwny mambo ya ndoa,ndoa zao adimu kama kibogoyo kula indi la kuchoma.

Mimi kuna ofisi.moja naijua kuna wadada zaidi ya saba wasomi wana degree na wengine masterz hakuna hata mmoja alieolewa, na wote age imekwenda
 
Ila pesa zao zinapendwa na wanaume suruali! Majukumu mnagawana na mwanaume sawa kwa sawa au pengine mwanamke anatoa pesa home zaidi. Ataacha kuthamini hiyo kazi inayowaweka mjini awahi home kukukanda na machicha ya nazi?! Inahusu?! Halafu ada na rent mtalipa na nini kama sio hela za waifu?!

Mwanaume ana hitaji kuheshimiwa..
 
Mwanaume ana hitaji kuheshimiwa..

Heshima in which context? Kila mwanaume ana "heshima" anayopenda apewe ukiachilia zile basics. Most of hizo heshima zinazodaiwa in reality ni services wanataka. Ukiwa umechelewa kazini usipompelekea maji ya kuoga bafuni basi hujamheshimu. Hujamfulia pichu hujamheshimu. Umetenga chakula akichelewa kurudi aka microwave ale hujamheshimu. Mwanamke anayekwenda kazini mwenye a demanding job like yours au kuzidi hawezi services zote kukufanyia lazima zitapungua tu. Sasa kwa kuwa mnakula na pesa zake vumilieni tu vitu vingine mjifanyie wenyewe, kwani mikono ya mwanaume imekatika?! You cant have your cake and eat it. Kama wote ni wafanyanazi u wd probably be living a fast paced life so inabidi mwanaume ajiongeze tu kama vipi...
 
Heshima in which context? Kila mwanaume ana "heshima" anayopenda apewe ukiachilia zile basics. Most of hizo heshima zinazodaiwa in reality ni services wanataka. Ukiwa umechelewa kazini usipompelekea maji ya kuoga bafuni basi hujamheshimu. Hujamfulia pichu hujamheshimu. Umetenga chakula akichelewa kurudi aka microwave ale hujamheshimu. Mwanamke anayekwenda kazini mwenye a demanding job like yours au kuzidi hawezi services zote kukufanyia lazima zitapungua tu. Sasa kwa kuwa mnakula na pesa zake vumilieni tu vitu vingine mjifanyie wenyewe, kwani mikono ya mwanaume imekatika?! You cant have your cake and eat it. Kama wote ni wafanyanazi u wd probably be living a fast paced life so inabidi mwanaume ajiongeze tu kama vipi...

Ndio maana hamuolewi na mkiolewa mnaachika mapema... Ujue wanaume wanatafuata mapenzi na wala siyo hiyo kazi yako au pesa zako..
 
Ndio maana hamuolewi na mkiolewa mnaachika mapema... Ujue wanaume wanatafuata mapenzi na wala siyo hiyo kazi yako au pesa zako..
Hahahaaa mapenzi sio nyie kukatika mikono bwana na kutujembesha, kazini tuende turudi tuwe kama hao wa darasa la saba. Its not humanly possible. Mapenzi ni both ways, wewe umfanyie kitu mwenzio na yeye akufanyie. Mapenzi ya kibongo bongo ni nyie kushika remote ta tv na kupumzisha makalio hamnyanyui hata kijiko. Ndo maana na inferiority complex zenu mnahitaji darasa la saba. Anayekuabudu, asoweza kuku challenge. Kama vipi usimsomeshe mwanao wa kike au sio ili asiachike hahahaa mbuuuuuuraaaaa!
 
Hahahaaa mapenzi sio nyie kukatika mikono bwana na kutujembesha, kazini tuende turudi tuwe kama hao wa darasa la saba. Its not humanly possible. Mapenzi ni both ways, wewe umfanyie kitu mwenzio na yeye akufanyie. Mapenzi ya kibongo bongo ni nyie kushika remote ta tv na kupumzisha makalio hamnyanyui hata kijiko. Ndo maana na inferiority complex zenu mnahitaji darasa la saba. Anayekuabudu, asoweza kuku challenge. Kama vipi usimsomeshe mwanao wa kike au sio ili asiachike hahahaa mbuuuuuuraaaaa!

Kwa hiyo unataka na mwanaume aoshe vyombo, apike ,afue, atandike kitanda..kwa sababu tu ya hicho kikazi chako na vihela vyako. big NOOO.. hizo ni kazi za mwanamke... mwanaume akitoka kazin anahitaji kurelax, huku akiliwazwa na mke wake..we unataka uanze tena kumchallenge ujingaujinga.. Mtaishia kuchukuliwa mume na mahausigeli kila siku.
 
Hahahaaa mapenzi sio nyie kukatika mikono bwana na kutujembesha, kazini tuende turudi tuwe kama hao wa darasa la saba. Its not humanly possible. Mapenzi ni both ways, wewe umfanyie kitu mwenzio na yeye akufanyie. Mapenzi ya kibongo bongo ni nyie kushika remote ta tv na kupumzisha makalio hamnyanyui hata kijiko. Ndo maana na inferiority complex zenu mnahitaji darasa la saba. Anayekuabudu, asoweza kuku challenge. Kama vipi usimsomeshe mwanao wa kike au sio ili asiachike hahahaa mbuuuuuuraaaaa!

Asisubiri hadi watoto wake,aanze na dada zake.
 
Heshima in which context? Kila mwanaume ana "heshima" anayopenda apewe ukiachilia zile basics. Most of hizo heshima zinazodaiwa in reality ni services wanataka. Ukiwa umechelewa kazini usipompelekea maji ya kuoga bafuni basi hujamheshimu. Hujamfulia pichu hujamheshimu. Umetenga chakula akichelewa kurudi aka microwave ale hujamheshimu. Mwanamke anayekwenda kazini mwenye a demanding job like yours au kuzidi hawezi services zote kukufanyia lazima zitapungua tu. Sasa kwa kuwa mnakula na pesa zake vumilieni tu vitu vingine mjifanyie wenyewe, kwani mikono ya mwanaume imekatika?! You cant have your cake and eat it. Kama wote ni wafanyanazi u wd probably be living a fast paced life so inabidi mwanaume ajiongeze tu kama vipi...

ona sasa hayo uliyoandika hapo yote yanafanywa na mahg.
Yaan pamoja na kusaidiwa na mahouse girl lakn bado mmeshindwa kuwahandle mabwana zenu. Dharau kibur na kejer ndio vmewajaa kisa mnavielim mlivyovipata kwa kutoa rushwa za ngono kwa lecture wenu
 
ona sasa hayo uliyoandika hapo yote yanafanywa na mahg.
Yaan pamoja na kusaidiwa na mahouse girl lakn bado mmeshindwa kuwahandle mabwana zenu. Dharau kibur na kejer ndio vmewajaa kisa mnavielim mlivyovipata kwa kutoa rushwa za ngono kwa lecture wenu

Hahaahaaa kwa hiyo wanawake wote walosoma wametoa rushwa ya ngoni kwa ma lecturer?! Poor urgument, jiamini mwanaume degree or not wewe kama ni mwanaume wa kweli utaiendesha familia yako vizuri poa tu sio mpaka uchukue mzigo wa darasa la saba. Ila kama vipi zama huko na washauri ndugu zako wote wanawake wasisome ili wadumu na mume eeee... teheee
 
kama ulikua unaona wazazi wako ni muhimu sana kuliko maisha mengine basi usikubali kuolewa kaa tu apo kwenu mpaka wakifa ndo uanze maisha mengine!!!
thanks mkuu kwa jibu murua
 
Hahaahaaa kwa hiyo wanawake wote walosoma wametoa rushwa ya ngoni kwa ma lecturer?! Poor urgument, jiamini mwanaume degree or not wewe kama ni mwanaume wa kweli utaiendesha familia yako vizuri poa tu sio mpaka uchukue mzigo wa darasa la saba. Ila kama vipi zama huko na washauri ndugu zako wote wanawake wasisome ili wadumu na mume eeee... teheee

hivi umesoma wanawake wenzio waliovyochangia humu ndani kuhusu matumizi ya hela zao ??
 
Back
Top Bottom