Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Tatizo ndio hili wengi wenu mnatoa sana tigo ndio maana hujaolewa umebaki kuwa mchepuko aliyekwambia ukifumuliwa malinda utaolewa nani ? sasa hilo linda halishoneki hata kidogo subiria wakati wa kujifungua mtoto wa mume wa mtu utaona mimavi kitandani

Shogaaa.ndo maana unaleta bifu na wanawake.kumbe unagombania wanaume.wanaume hawaoi siku hizi maana mashoga mmejaa kibao nowdays kuuza tigo kama k.
 
Shogaaa.ndo maana unaleta bifu na wanawake.kumbe unagombania wanaume.wanaume hawaoi siku hizi maana mashoga mmejaa kibao nowdays kuuza tigo kama k.

haya sasa na biashara yako umeileta kumbe laini mbili tigo na voda ha ha ha ha ha
haya mchepuko biashara matangazo nishakujua wewe mjasiria mali
 
We hujaelewa kwani mwanangu atasoma ila akiolewa au asipoolewa ni juu yake sio yangu we soma ukimaliza uwe mchepuko tu

Sasa kama mwanao si juu yako, sisi manungayembe usiotujua na id's fake zetu tunakuwaje concerned yako my dear!
 
Sasa kama mwanao si juu yako, sisi manungayembe usiotujua na id's fake zetu tunakuwaje concerned yako my dear!

nimeshukuru kama kweli umejiona nungayembe
 
ulikuwa unataka kutuaminisha nini ???
kwamba wasomi wanaoa wasomi wenzao ??

Hebu punguza jazba, rudi kwenye post yangu niliyomjibu Mgirik ambayo umeidandia bila kuielewa!
 
Wenye degree hamfai na degree zenu.

Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .

Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu.

Mtazalishwa, mtalea watoto, mtadanganywa na hamtaolewa.

Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.

Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?

Wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.

Nan anataka presure ya ujanan tupa kule na degree zao
 
haya sasa na biashara yako umeileta kumbe laini mbili tigo na voda ha ha ha ha ha
haya mchepuko biashara matangazo nishakujua wewe mjasiria mali

Shoga au wewe ndo wale wangese baridi mpaka uliwe tigo ndo uirect.we si mwanaume wewe
 
haya sasa na biashara yako umeileta kumbe laini mbili tigo na voda ha ha ha ha ha
haya mchepuko biashara matangazo nishakujua wewe mjasiria mali

Wewe mngese baridi mpaka ugongwe tigo ndo unaerect
 
ahsante sana ila turudi kwenye mada maana yake hakuna mshindi wa kutukana

Jibu la mada ni ujiamini.wanaume mmezoea mfume dume wa kuwapelekesha wanawake na kuwanyanyasa ndo maana mnatambia wanawake wasiojitambua thamani zao.uoe la saba uoe mwenye masters kila mtu afanye wajibu wake bila manyanyaso.tena mkome kabisa wanaume mnaonyanyasa wanawake
 
Kumbe mkio wenye degree mnapiga mahesabu ya kuwafanya chuma ulete.....heheheee yani siku mume wangu akiuona mshahara wangu ajue nimempa sadaka...

Me baba yangu ajipinde kunisomesha halafu we uje udai mshahara kama mlisaidiana vilee...ukiuliza umenioa....

Then tukidai usawa mnakuwa wakali...mwanaume ukitaka kuwa kichwa cha familia basi uwe kichwa katika kila kitu hadi matumizi ya nyumbani....!
Tena hadi nauli ya kwenda kazini umpe mkeo na mshahara usihoji....

wew huyo au mwingne..mshahara wako utakuwa unapeleka wap😕
 
Jibu la mada ni ujiamini.wanaume mmezoea mfume dume wa kuwapelekesha wanawake na kuwanyanyasa ndo maana mnatambia wanawake wasiojitambua thamani zao.uoe la saba uoe mwenye masters kila mtu afanye wajibu wake bila manyanyaso.tena mkome kabisa wanaume mnaonyanyasa wanawake

punguza hasira dada..
 
Watazalishwa dada zako kwanza shoga.hadi sasa hivi washazalishwa dada zako wangapi nyumbani unasaidia kulea watoto wa vidume wenzio.

kwetu ss mtoto wa kike akizalia nyumban anatengwa na mtoto hufukuzwa kabisa..... Hvyo mtoto wa kike yeyote hathubutu kuzalia nyumban... Kwa kifupi tunaita sigwana
 
Jibu la mada ni ujiamini.wanaume mmezoea mfume dume wa kuwapelekesha wanawake na kuwanyanyasa ndo maana mnatambia wanawake wasiojitambua thamani zao.uoe la saba uoe mwenye masters kila mtu afanye wajibu wake bila manyanyaso.tena mkome kabisa wanaume mnaonyanyasa wanawake

hadi kodi ya meza je ?
 
Back
Top Bottom