kuna dedication ya wimbo huwa natamani nikupe nikuonapo,ila nimeghairi
sasa we mwenyewe umeishia la pili A!wa degree utamuweza wapi???? hebu muwe mnachukua mnaofanana nao msituletee shombo hapa
mkuu unalazimisha watu watoe facts ambazo zipo wazi,haya we tupe kwanza fact kwamba wanawake wasomi si pasua kichwa kwenye ndoa
mtoa.mada binti ako wa kumzaa utapenda aishie darasa la 7 au form 4?????...
sijui lengo nini maana wengine tumeoa hao wenye elimu kubwa zaidi na wanaheshima hamna mfanowe....sijui lakini mtazamo wako!
KISHINDO Kishindo ni mwingine na huyo viol ni mwingine. Nilikosea tu kucopy post ya huyo jamaa.
mkuu unaujua huo wimbo nini?