ni kweli wakuu japo kwa kundi ulilolilenga kamwe hawatakubali wala ila hiyo ndo hari harisi:what:,mwanamke si degree na hili ni jambo muhimu kuliko yote kama kweli unataka kuoa 'mke' na kufurahia ndoa yako,ukiwaona wengi wanatamani kuolewa lakini hata dating hawaijuhi,badala ya kumfanya kijana avutiwe kumuoa kwa kujistiri wao ndo kwanza wanavalia kana kwamba anaenda bilicanas ...wanaume tujitume kutafuta pesa kumhudumia mkeo ila ukitaka 'eti' wa digrii ili upate unafuhu:thumbdown: wa maisha umejiroga,hawafugiki kwa kila kumi yuko1 ama 2 tu wengine ni sumu kama cobra