Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Nina uhakika wengi wenye elimu ya kawaida (Masters) mada hii imewashika pabaya maana ina ukweli ndani yake. Seriously wasio na elimu ya darasani iliyosogea juu kiasi (hapa mnawaita std 7 na f4) ndio wansotulia na kujenga miji yao. Huweza hata kuwasaidia waume zao tena wenye elimu kwa mambo kadhaa hasa anayoyamudu mwanamke zaidi mfano malezi ya watoto na kutunza nyumba. Shida moja wengi wetu tunadhani kuwa na shahada ndio kuelimika, not necessarily.
 
Nina uhakika wengi wenye elimu ya kawaida (Masters) mada hii imewashika pabaya maana ina ukweli ndani yake. Seriously wasio na elimu ya darasani iliyosogea juu kiasi (hapa mnawaita std 7 na f4) ndio wansotulia na kujenga miji yao. Huweza hata kuwasaidia waume zao tena wenye elimu kwa mambo kadhaa hasa anayoyamudu mwanamke zaidi mfano malezi ya watoto na kutunza nyumba. Shida moja wengi wetu tunadhani kuwa na shahada ndio kuelimika, not necessarily.

celex soma hapa
 
Last edited by a moderator:

sio kweli kabisa.Kushindwa kulea familia ni tabia tu ya mtu mimi ushahidi ninao nimelelewa na wazazi wasomi tena wamenilea vizuri mpaka na mimi nikasoma na kupata hiyo degree na sasa nina maisha yangu.
 
Last edited by a moderator:
naenda kutafuta post graduate muda huu mtabaki hivyohivyo na maneno yenu hamtutishi.
ila isije mmeo ndo hajielewi,maana kuishi na mke wa degree mwanaume lazima uwe na mapungufu
 
ila isije mmeo ndo hajielewi,maana kuishi na mke wa degree mwanaume lazima uwe na mapungufu

ha ha ha! pole sana najua hata wewe unatamani mke tena mwenye Masters kabisa unazuga tu huku.
 
sio kweli kabisa.Kushindwa kulea familia ni tabia tu ya mtu mimi ushahidi ninao nimelelewa na wazazi wasomi tena wamenilea vizuri mpaka na mimi nikasoma na kupata hiyo degree na sasa nina maisha yangu.

hebu acha ubishi wewe wengi wenu mkifanya kazi mnajisahau mambo mengine kulea hamlei mnawaachia wafanyakazi mnataka haki sawa ila kodi ya meza ni mwanaume ada mwanaume nyie msikilizeni ni nguo na viatu na anasa anasa tu mara mume anarudi kazini chakula anaandaliwa na housegirl au vikaratasi mezani eti umelala umechoka na kazi hizo ndio nisizozipenda mke wangu hatofanya kazi ofisini
 
ila isije mmeo ndo hajielewi,maana kuishi na mke wa degree mwanaume lazima uwe na mapungufu

wewe usiyetaka elimu ndio ujielewi neno la Mungu lenyewe linasema mshike sana elimu sasa nakushangaa wewe.
 
hebu acha ubishi wewe wengi wenu mkifanya kazi mnajisahau mambo mengine kulea hamlei mnawaachia wafanyakazi mnataka haki sawa ila kodi ya meza ni mwanaume ada mwanaume nyie msikilizeni ni nguo na viatu na anasa anasa tu mara mume anarudi kazini chakula anaandaliwa na housegirl au vikaratasi mezani eti umelala umechoka na kazi hizo ndio nisizozipenda mke wangu hatofanya kazi ofisini

sitaki kubishana na wewe nakushauri utafute mke type yako inaonekana hata elimu yenyewe huna na kama unayo ya kubabaisha tu.Ni wanaume wangapi siku hizi hawajishughulishi wanalishwa na kuvishwa na wake zao halafu bado wanajiita kichwa cha familia upuuzi mtupu.Yaani bora kuishi single kuliko kuishi na mume anayekataza mke kufanya kazi wakati hata pesa ya matumizi ndani ni shida.
 
wewe usiyetaka elimu ndio ujielewi neno la Mungu lenyewe linasema mshike sana elimu sasa nakushangaa wewe.
wapo walioathirika na hilo neno la Mungu.
c.c MO11
 
Last edited by a moderator:
sitaki kubishana na wewe nakushauri utafute mke type yako inaonekana hata elimu yenyewe huna na kama unayo ya kubabaisha tu.Ni wanaume wangapi siku hizi hawajishughulishi wanalishwa na kuvishwa na wake zao halafu bado wanajiita kichwa cha familia upuuzi mtupu.Yaani bora kuishi single kuliko kuishi na mume anayekataza mke kufanya kazi wakati hata pesa ya matumizi ndani ni shida.

Yan apa we ndio unaejipa matumain ya kuoa goal keeper ..endelea kujipa matumaini wee utashaa mjini shule kijijini jembe jidanganye uje na jembe lako mjin cjui utalima lami hahaaaa kaoge weee mburula

labda nikutajie sababu kwa nini nitaoa golikipa

1: Nitakapomuhitaji nitampata kwa wakati wowote kwa vyovyote unavyofikiria wewe

2: Kuchelewa nyumbani kwake lazima kuwe na sababu hata kutoka tu nyumbani mpaka niwe na taarifa

3: Malezi ya watoto kwa asilimia kubwa nitakuwa nina uhakika wa usalama wa wanangu kwanzia malezi hadi chakula tofauti na beki 3

4: Chakula nitapikiwa na mke wangu tu ndio sababu ya kuukacha ubachela

5: Visingizio vya simu vya mara kwa mara hakuna oo mara bosi kapiga oo nimeitwa kazini sitaki mke wangu mali yangu

6: Heshima ipo baadhi ya wanawake wakipata kadegree ni kuanza kutukana wanaume hata wasio wajua kama huyo shosti wako

7: Majukumu ya kifedha yote yatakuwa juu yangu hivyo nitakuwa sipigii mahesabu hela kutoka kwa mke wangu. Maana baadhi yenu hela zenu mnawekeza kwenu badala ya kwako

cc DEMBA na tumboo
 
Last edited by a moderator:
wapo walioathirika na hilo neno la Mungu.
c.c MO11

wakiolewa watakwambia wanajenga kwao kwasababu walisomeshwa hela zao kwa matumizi yao sio za kutumia nyumbani
 
Last edited by a moderator:
labda nikutajie sababu kwa nini nitaoa golikipa

1: Nitakapomuhitaji nitampata kwa wakati wowote kwa vyovyote unavyofikiria wewe

2: Kuchelewa nyumbani kwake lazima kuwe na sababu hata kutoka tu nyumbani mpaka niwe na taarifa

3: Malezi ya watoto kwa asilimia kubwa nitakuwa nina uhakika wa usalama wa wanangu kwanzia malezi hadi chakula tofauti na beki 3

4: Chakula nitapikiwa na mke wangu tu ndio sababu ya kuukacha ubachela

5: Visingizio vya simu vya mara kwa mara hakuna oo mara bosi kapiga oo nimeitwa kazini sitaki mke wangu mali yangu

6: Heshima ipo baadhi ya wanawake wakipata kadegree ni kuanza kutukana wanaume hata wasio wajua kama huyo shosti wako

7: Majukumu ya kifedha yote yatakuwa juu yangu hivyo nitakuwa sipigii mahesabu hela kutoka kwa mke wangu. Maana baadhi yenu hela zenu mnawekeza kwenu badala ya kwako

cc DEMBA na tumboo

inaonekana wewe ni mbinafsi kwanini asiwekeze kwao unataka wazazi wake wafe njaa kisa umemuoa? Sheria ya Ndoa yenyewe imeshasema jukumu la kuitunza familia ni la baba,mama atawajibika baba pale atakapokua incapable sasa kwanini utamani mali za mke huo ni wivu wa kijinga.
 
Last edited by a moderator:
inaonekana wewe ni mbinafsi kwanini asiwekeze kwao unataka wazazi wake wafe njaa kisa umemuoa? Sheria ya Ndoa yenyewe imeshasema jukumu la kuitunza familia ni la baba,mama atawajibika baba pale atakapokua incapable sasa kwanini utamani mali za mke huo ni wivu wa kijinga.

mathayo 19:6 inasemaje ?
 
labda nikutajie sababu kwa nini nitaoa golikipa

1: Nitakapomuhitaji nitampata kwa wakati wowote kwa vyovyote unavyofikiria wewe

2: Kuchelewa nyumbani kwake lazima kuwe na sababu hata kutoka tu nyumbani mpaka niwe na taarifa

3: Malezi ya watoto kwa asilimia kubwa nitakuwa nina uhakika wa usalama wa wanangu kwanzia malezi hadi chakula tofauti na beki 3

4: Chakula nitapikiwa na mke wangu tu ndio sababu ya kuukacha ubachela

5: Visingizio vya simu vya mara kwa mara hakuna oo mara bosi kapiga oo nimeitwa kazini sitaki mke wangu mali yangu

6: Heshima ipo baadhi ya wanawake wakipata kadegree ni kuanza kutukana wanaume hata wasio wajua kama huyo shosti wako

7: Majukumu ya kifedha yote yatakuwa juu yangu hivyo nitakuwa sipigii mahesabu hela kutoka kwa mke wangu. Maana baadhi yenu hela zenu mnawekeza kwenu badala ya kwako

cc DEMBA na tumboo

ndio nyie type ya.wale wanaume katika familia baba akifariki basi watoto wote wanaishia kuharibika maana mama hawezi kuwasupport kwenye chochote alikua anamtegemea baba.Maisha hayo yalishapitwa na wakati tuko karne mpya labda niwakumbushe.Wanaume wenyewe mmejaa maradhi mkifa hizo familia zenu mnamuachia nani azitunze wakati hata hamjui kuwekeza kwenye miradi mbalimbali.
 
Last edited by a moderator:
inaonekana wewe ni mbinafsi kwanini asiwekeze kwao unataka wazazi wake wafe njaa kisa umemuoa? Sheria ya Ndoa yenyewe imeshasema jukumu la kuitunza familia ni la baba,mama atawajibika baba pale atakapokua incapable sasa kwanini utamani mali za mke huo ni wivu wa kijinga.
nilikuona una msimamo ila kwa hiyo sentensi nimegundua wewe wale wale,Mungu tuepushe na aina ya hawa wanawake
 
Back
Top Bottom