Tupo wenye masters zetu tumeolewa na tuna watoto
Nimecheka tu
kwa hicho kimshahara cha laki 2 unachokitegemea lazima ukimbilie wa form 4
dada siwezi kukuooa mimi dereva wa bodaboda
we subiri mume kama utapata bosi
mbona ninae tayari.
dada siwezi kukuooa mimi dereva wa bodaboda
we subiri mume kama utapata bosi
haya hongera
Well said. Asante sana.hii mada ni muhimu sana kwa akina dada wa kileo hasa wale waliobahatika kufika madarasa ya juu. Wengi wao ni jeuri kupindukia kwa waume zao. haya mambo ya kutafuta haki kupindukia yanawaharibu dada zetu. Ni afadhali wangeishia tu kudai haki zao kama kupendwa, mume kumjali na kumsikiliza lakini siku hizi wamepitiliza wanataka uhuru kupindukia wasiulizwe waendapo au watokapo kazini au matembezi, vikaoni, kichen party, n.k. halafu wao wanataka full control kwa waume zao, ni wakali wasiotaka ushauri na majibu ya hovyo. Nadhani talaka zitazidi sana kwa hawa wasomi wetu kadri siku zinavyoenda.
kama walioishia la 7 na form 4 wazuri mbona bado mnakimbili michepuko yenye degree si mbaki nao kinachowafanya mtoke nje ni nini?
kama walioishia la 7 na form 4 wazuri mbona bado mnakimbili michepuko yenye degree si mbaki nao kinachowafanya mtoke nje ni nini?
mwenye elimu siku zote ndio anajua umuhimu wa elimu wasiokuwa nayo hata umwambieje hawezi kukuelewa.Wanaongea tu kwa vile wamekosa wakubali tu ukute hata degree hawaijui cha muhimu love tu
Sio kweli. Kwani hiyo kitu huko chini nayo inakuwa na degree? Kwa hilo mwenye degree na ambaye hana zote kazi ni moja.[/QUOTE
hamtaki wenye elimu maana mnaogopa mnaona kama mtaaibika maana mke anaweza akakuzidi kipato utakosa sound bure.Poleni sana wanaume,tena mi natamani watoto wa kike tu niwasomeshe mpaka phd sio degree tu.
shukuru mungu kama umeolewa na kisomo chako na ndoa imetulia