Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
La haulaaa! Nimeona mahali Freeman na Dk. Slaa watahutubia mkutano pamoja na pia hawa watu wamerudisha mahusiano yao hivyo kazi iendelee! Mbowe Freeman alibadili gia angani na kuwatupa nje wafia chama wengi akamkumbatia Lowasa na Sumaye!
Dk. Slaa hakupendezwa, akaenda CCM kimya kimya, akasaidiana na JPM kuipopoa Chadema! Hata yeye mwenyewe Mbowe alipokuwa kizuizini, Dk. Slaa aliunga mkono utawala ule! Wamepambana na kujizoazoa, 2025 inakaribia Mbowe anaonekana kumrejesha Dk. Slaa! Bila kujali watu waliumia vipi na maamuzi ya Dk. Slaa! Tuamini nini au ulikuwa mkakati wa siri baina ya wawili hawa!
Na labda kuna ajenda ya siri kati ya watawala na Dk. Slaa, kinyume chake tutaanza kuamini kwamba Mbowe hayuko siriasi na azma ya wanachama!
Anawapeleka mahali wakikalibia kufika anawabomoa tena!
Dk. Slaa hakupendezwa, akaenda CCM kimya kimya, akasaidiana na JPM kuipopoa Chadema! Hata yeye mwenyewe Mbowe alipokuwa kizuizini, Dk. Slaa aliunga mkono utawala ule! Wamepambana na kujizoazoa, 2025 inakaribia Mbowe anaonekana kumrejesha Dk. Slaa! Bila kujali watu waliumia vipi na maamuzi ya Dk. Slaa! Tuamini nini au ulikuwa mkakati wa siri baina ya wawili hawa!
Na labda kuna ajenda ya siri kati ya watawala na Dk. Slaa, kinyume chake tutaanza kuamini kwamba Mbowe hayuko siriasi na azma ya wanachama!
Anawapeleka mahali wakikalibia kufika anawabomoa tena!