mwekwa ntandu
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,440
- 3,553
Wewe huoni aibu kutetea ujinga,wananchi wanaishi kwenye ufukara wa kutisha afu unaanza kusifia kwamba mambo yanaenda vizuri!!!!
Aibu gani?
Aibu gani?
Maendeleo ni mchakato namanisha msibeze hatua zinazopigwa na serikali za kimaendeleo hatukua hapa tulipoWewe huoni aibu kutetea ujinga,wananchi wanaishi kwenye ufukara wa kutisha afu unaanza kusifia kwamba mambo yanaenda vizuri!!!!