Wanaobeza maendeleo mtoto wa miaka 8 awashangaa

Wanaobeza maendeleo mtoto wa miaka 8 awashangaa

Kwani mwanao akija na ripoti kapata asilimia 40 katika mtihani wake, ukamwambia unahitaji jitihada zaidi kuongeza ufanisi, utakuwa hujatambua jitihada zake?

Unaelewa kwamba binafsi sina tatizo kutqmbua jitihada, ika nasema tunaweza kufanya vizuri sana zaidi ya sasa hivi na kwamba kuna ujinga mwingi sana unafanyika ambao hauhitajiki?

Unaelewa hayo?

Unaelewa kwamba hizi ni habari nyingi na nzito na zenye utata mwingi, si habari ndogo na nyepesi tu za kutambua au kutotambua jitihada?

Nikisema rais ni mshenzi kwa sababu kasema atawapiga shangazi wa wapinzani, hapo sijatambua au nimetambua jitihada zake?

Nikisema ukweli kwamba rais ni mshenzi, sijatambua jitihada zake?

Mtu mshenzi hawezi kuwa na jitihada zinazotambulika, akaangushwa na ushenzi wake, watu wakapenda jitihada zake, wakasema "huyu angeondoa ushenzi wake tu, angeweza kufanya vizuri zaidi"?
Mpaka sasa umeacha kutafuta chakula cha familia yako?

Matatizo ya familia yako umeishayaondoa?
Kama bado tambua matatizo hayawezi kuisha.
 
Mpaka sasa umeacha kutafuta chakula cha familia yako?

Matatizo ya familia yako umeishayaondoa?
Kama bado tambua matatizo hayawezi kuisha.
Mtu anayeongelea matatizo ya chakula ni mtu ambaye hajaweza kushinda matatizo ya msingi ya maisha.

Mimi sina matatizo ya kutafuta chakula, mimi nina matatizo chakula kinaharibika sana kwa kuwa kipo kingi na hakiliwi vya kutosha.

Na kama hujaelewa kwamba matatizo ya uongozi wa nchi yanapelekea moja moja mpaka kwenye matatizo ya familia, kwa mfano, ukosefu wa ajira unaotokana na sera mbovu, ukosefu wa elimu unaokufanya wewe ukose elimu ya uraia ya kujua kwamba matatizo ya uongozi wa nchi hayawezi kutenganishwa na matatizo ya famikia, basi naweza kueleea kwa nini hatuelewani.

Huelewi kwamba matatizo ya uongozi wa nchi ni matatizo ya familia!
 
Huduma alizoulizia huyo mtoto wewe huzipati?
Mimi sipo Tanzania takribani miaka ishirini sasa. Ndiyo maana nakwambia ondoa maswali yako ya kuulizia chakula.

Bajeti yangu ya cologne ya mwaka ni zaidi ya GDP Per Capita ya Mtanzania, kama unajua GDP Per Capita ni nini.

Asilimia ngapi ya Watanzania hawana umeme wa kutegemewa na maji safi na salama?
 
Mimi sipo Tanzania takribani miaka ishirini sasa. Ndiyo maana nakwambia ondoa maswali yako ya kuulizia chakula.

Bajeti yangu ya cologne ya mwaka ni zaidi ya GDP Per Capita ya Mtanzania, kama unajua GDP Per Capita ni nini.

Asilimia ngapi ya Watanzania hawana umeme wa kutegemewa na maji safi na salama?

Dah uko vizuri mzee. Bajeti yako ya cologne kwa mwaka umeizidi GDP ya Bakhresa mzee?
Wewe hata Elon Musk hakupati kabisa [emoji12][emoji12]
 
Mimi sipo Tanzania takribani miaka ishirini sasa. Ndiyo maana nakwambia ondoa maswali yako ya kuulizia chakula.

Bajeti yangu ya cologne ya mwaka ni zaidi ya GDP Per Capita ya Mtanzania, kama unajua GDP Per Capita ni nini.

Asilimia ngapi ya Watanzania hawana umeme wa kutegemewa na maji safi na salama?
Sasa Mambo ya Tanzania unayajuaje Kama si mpinzani uchwala
 
Yako matatizo mengi ambayo yanatokana na ujinga na kutowajibika sawasawa.Na aina hiyo ndo tunayo hapa kwetu.
Mpaka sasa umeacha kutafuta chakula cha familia yako?

Matatizo ya familia yako umeishayaondoa?
Kama bado tambua matatizo hayawezi kuisha.
 
Ukiacha mengine maji ni hitaji la msingi katika maisha ya binadamu. Je haiwezekani kuhakikisha nchi nzima ina maji Safi na salama sambamba na sgr, umeme wa rufiji, madaraja, mabarabara, vivuko, viwanja vya ndege na ndege zake, flyovers na mengineyo?
 
Sasa Mambo ya Tanzania unayajuaje Kama si mpinzani uchwala
Wewe jifunze kuandika kwanza.

Dunia ya mtandao hii nakuhakikishia mimi najua mambo ya Tanzania kuliko watu wengi walio Tanzania.

Usiishi kwa kukariri kwamba walio Tanzania wanajua mambo ya Tanzania zaidi.

Acha kuishi kijima.
 
Dah uko vizuri mzee. Bajeti yako ya cologne kwa mwaka umeizidi GDP ya Bakhresa mzee?
Wewe hata Elon Musk hakupati kabisa [emoji12][emoji12]
Wapi nimemtaja Bakhressa?

Unaelewa kiuchumi ikitajwa GDP Per Capita ya Mtanzania maana yake nini?

Au unarukia tu kujadili vitu usivyovielewa?
 
Wapi nimemtaja Bakhressa?

Unaelewa kiuchumi ikitajwa GDP Per Capita ya Mtanzania maana yake nini?

Au unarukia tu kujadili vitu usivyovielewa?

Basi ndugu manake najadiliana na mtu asiyeelewa anachokiandika. Bakhresa ni nani na Mtanzania ni nani? Kwaheri
 
Wewe jifunze kuandika kwanza.

Dunia ya mtandao hii nakuhakikishia mimi najua mambo ya Tanzania kuliko watu wengi walio Tanzania.

Usiishi kwa kukariri kwamba walio Tanzania wanajua mambo ya Tanzania zaidi.

Acha kuishi kijima.
Haya mzee wa mtandao niambie ni nchi gani ambao wananchi wake wote wanatumia maji ya bomba na wanakula milo 3 mboga saba?
 
Ni
Ukiacha mengine maji ni hitaji la msingi katika maisha ya binadamu. Je haiwezekani kuhakikisha nchi nzima ina maji Safi na salama sambamba na sgr, umeme wa rufiji, madaraja, mabarabara, vivuko, viwanja vya ndege na ndege zake, flyovers na mengineyo?
Nchi gani ambayo wanaichi wake wote wanapata maji ya safi na salama?
 
Haya mzee wa mtandao niambie ni nchi gani ambao wananchi wake wote wanatumia maji ya bomba na wanakula milo 3 mboga saba?
Kwani nani kasema wananchi wote watumie maji ya bomba na kula milo mitatu mboga saba?

Unaelewa kwamba unaweza kuwa na maji ya bomba yakawa machafu?

Unaelewa kuwa unaweza kula mboga saba halafu zikakuua kwa cholesterol?

Unaelewa kinachojadiliwa hapa?
 
Hata JK aliwahi kuuliza kule USA mbona nchi yenu ina rasilimali kibao ili hali nyie ni maskini akajibu hata yeye hajui
 
Ni

Nchi gani ambayo wanaichi wake wote wanapata maji ya safi na salama?
Mkuu swali hili unamaanisha au umeuliza mradi umeuliza? Hivi ni kweli kwamba hujui kwamba kuna nchi nyingi tu ambazo wananchi wake hawajawahi kushuhudia kukatika kwa maji?
 
Huu uzi hua nauona na kuuruka mara nyingi, leo nimeona niingie nilichokikuta ni aibu kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom