Imetokea mara nyingine kuwepo kwa Wanandoa ambao hawajaliwi kupata (wa/m)toto kwa sababu mbalimbali zaidi sana kwa Ugumba au Utasa.
Kutokana na mambo mengi katika jamii inayotuzunguka, Wanandoa hao (baadhi yao) huachana, hutoka nje ya ndoa, huzunguka sana kwa waganga wa jadi, na wachache sana huendelea kuishi pamoja ndani ya ndoa.
Wana JF mnawashauri nini Wanandoa kama hawa?
Kutokana na mambo mengi katika jamii inayotuzunguka, Wanandoa hao (baadhi yao) huachana, hutoka nje ya ndoa, huzunguka sana kwa waganga wa jadi, na wachache sana huendelea kuishi pamoja ndani ya ndoa.
Wana JF mnawashauri nini Wanandoa kama hawa?