Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,355
Nap!need i say more?......
babu yangu alizaa watoto 24. kwa mkewe alizaa naye saba tu! So kama ni kuzaa, si lazima kuoa. Na pia kuoa si lazima kuzaa
Najua kuna watu watabisha.
Nap!need i say more?......
Hahahaha! Mate, ngoja ntakufanyia mpango through PM. LOL!Duh School mate upo fastaa - kumbe una kina honey humu humu JF. safi saana. nifanyie mpango na mimi. tutakutana kule kwa wakubwa siyo hapa lakini.
Kuhusu swala la watoto ktka ndoa naunga mkono wazo lako - Yote kwa mungu Muweza......
nani atabisha ndugu,Nap!
babu yangu alizaa watoto 24. kwa mkewe alizaa naye saba tu! So kama ni kuzaa, si lazima kuoa. Na pia kuoa si lazima kuzaa
Najua kuna watu watabisha.
Nap!
babu yangu alizaa watoto 24. kwa mkewe alizaa naye saba tu! So kama ni kuzaa, si lazima kuoa. Na pia kuoa si lazima kuzaa
Najua kuna watu watabisha.
Nap!
babu yangu alizaa watoto 24. kwa mkewe alizaa naye saba tu! So kama ni kuzaa, si lazima kuoa. Na pia kuoa si lazima kuzaa
Najua kuna watu watabisha.
Askofu katika ndoa zetu za kiafrika ni muhimu kupata watoto ndani ya ndoa maana mkibahatika mara nyingi huboresha zaidi ndoa, lakini katika nchi za wenzetu sasa hivi wengi wanaoana huku wakiwa wamekubaliana kwamba hawatakua na watoto katika ndoa yao ili kutoharibu pattern ya maisha yao wanayoyafurahia na cha kushangaza idadi ya wanandoa kama hawa inaongezeka kwa kasi sana na hivyo kupunguza mno birth rates katika nchi mbali mbali za dunia ya kwanza lakini sijui kama hili litaingia katika nchi zetu hivi karibuni. Bado tunathamini sana kupata watoto ndani ya ndoa na kama wanandoa wasipojaaliwa basi ndugu, jamaa na marafiki huanza kuongea pembeni.
Kama ikishindikana watoto wanaweza kuchukua watoto yatima wanaoshi katika mazingira magumu na kuwalea.Ni makubaliano kati ya watu wawili
Watoto ni zawadi toka kwa MUNGU kwahiyo suala muhimu kwao ni kuomba pasipo kuchoka wakati wakitafakari ukuu wa MUNGU kwa Ibrahimu na Sarah kwa jinsi alivyowapa mtoto wao IsakaWana JF mnawashauri nini Wanandoa kama hawa?