Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,891
WANANDOA NI LAZIMA WA-SHARE PASSWORD ZA AKAUNTI ZA BENKI NA SIMU
Anaandika, Robert Heriel
MTIBELI.
Dunia ya kitapeli huzalisha ndoa za kitapeli, Wanandoa matapeli, Watoto na kizazi cha kitapeli.
Kama mnafichiana namba za Siri za BENKI na akaunti na bado mnadanganyana ni MKE na Mume basi ninyi ni matapeli na Wanafiki Kwa kiwango cha juu. Hakunaga ndoa Hapo. Ni ujanja ujanja. Watibeli ni Bora kuishi mwenyewe kuliko kuishi na mtu ambaye humuamini au hakuamini.
Uaminifu ndani ya Ndoa ni moja ya Nguzo muhimu Baada ya upendo.
Kama MTU hajawa tayari kukupenda, kukuamini na hujawa tayari kumpenda na kumuamini ni Bora kila MTU apite kivyake.
Hakunaga ndoa ya Aina hiyo.
Hapo kitakachofuata ni ubinafsi wa kushangazaa.
Watibeli, naam Mimi kama Mtibeli ninawaagiza Vijana na mabinti, ili ndoa zenu ziwe ndoa kweli basi itahitaji mambo Makubwa yafuatayo;
1. Upendo, hapa tutazungumzia Moyo.
Ishu za kujali, kuthamini, kutunza na kuhudumia na mambo yote yahusuyo Hisia.
2. Imani, Hapa tunazungumzia Roho.
Hapa tunazungumzia ishu za Uaminifu, maadili na uadilifu, Tabia, kusamehe, na mambo yote yahusuyo Imani.
3. Utashi, hapa tunazungumzia Nafsi.
Mambi yahusuyo utambuzi, Akili, mtazamo, hasira, chuki, Mema na mabaya, n.k.
Hayo mambo Matatu lazima mkaribiane Kwa kiwango kikubwa. Kama mnapishana Sana basi hapo hakuna Ndoa. Lazima Haki za mmoja wenu zikanyagwe, na maumivu lazima yatokee. Hatimaye ndoa inakua ndoano.
Hakuna sababu yoyote ya maana hata Moja ya kumzuia Mwenza wako asijue Mambo yako nyeti kama Password ikiwa kweli mnasema mnapendana. Penye upendo hakuna sababu ya namna hiyo.
Unapoamua kuoa au kuolewa unaamua kuyafanya Maisha yako kuwa ya mwingine na Yale ya mwingine kuwa Maisha yako.
Mwili wako kuwa mwili wa mwingine, na wake kuwa wako
Siri zako kuwa siri za mwingine, na zake kuwa zako.
Madhaifu yako kuwa madhaifu ya mwingine, na yake kuwa yako.
Mali za mwingine kuwa zako, na zake kuwa zako.
Hiyo ndio ndoa.
Mwenza wako anapoficha Mambo yake ikiwemo namba za Siri anajaribu kueleza Jambo moja kuu kuwa Hakuamini, na kama Hakuamini basi ni kuwa Hakupendi Ile yenyewe.
Mtu Mwema na mwenye Upendo WA dhati haoni shida ku-share vitu na MTU anayempenda,
Ingawaje Kutokana na dunia hii kuwa na matapeli wengi, hasa Wanawake wanaopenda wanaume Kwa sababu ya Mali. Basi ni akheri
Anaandika, Robert Heriel
MTIBELI.
Dunia ya kitapeli huzalisha ndoa za kitapeli, Wanandoa matapeli, Watoto na kizazi cha kitapeli.
Kama mnafichiana namba za Siri za BENKI na akaunti na bado mnadanganyana ni MKE na Mume basi ninyi ni matapeli na Wanafiki Kwa kiwango cha juu. Hakunaga ndoa Hapo. Ni ujanja ujanja. Watibeli ni Bora kuishi mwenyewe kuliko kuishi na mtu ambaye humuamini au hakuamini.
Uaminifu ndani ya Ndoa ni moja ya Nguzo muhimu Baada ya upendo.
Kama MTU hajawa tayari kukupenda, kukuamini na hujawa tayari kumpenda na kumuamini ni Bora kila MTU apite kivyake.
Hakunaga ndoa ya Aina hiyo.
Hapo kitakachofuata ni ubinafsi wa kushangazaa.
Watibeli, naam Mimi kama Mtibeli ninawaagiza Vijana na mabinti, ili ndoa zenu ziwe ndoa kweli basi itahitaji mambo Makubwa yafuatayo;
1. Upendo, hapa tutazungumzia Moyo.
Ishu za kujali, kuthamini, kutunza na kuhudumia na mambo yote yahusuyo Hisia.
2. Imani, Hapa tunazungumzia Roho.
Hapa tunazungumzia ishu za Uaminifu, maadili na uadilifu, Tabia, kusamehe, na mambo yote yahusuyo Imani.
3. Utashi, hapa tunazungumzia Nafsi.
Mambi yahusuyo utambuzi, Akili, mtazamo, hasira, chuki, Mema na mabaya, n.k.
Hayo mambo Matatu lazima mkaribiane Kwa kiwango kikubwa. Kama mnapishana Sana basi hapo hakuna Ndoa. Lazima Haki za mmoja wenu zikanyagwe, na maumivu lazima yatokee. Hatimaye ndoa inakua ndoano.
Hakuna sababu yoyote ya maana hata Moja ya kumzuia Mwenza wako asijue Mambo yako nyeti kama Password ikiwa kweli mnasema mnapendana. Penye upendo hakuna sababu ya namna hiyo.
Unapoamua kuoa au kuolewa unaamua kuyafanya Maisha yako kuwa ya mwingine na Yale ya mwingine kuwa Maisha yako.
Mwili wako kuwa mwili wa mwingine, na wake kuwa wako
Siri zako kuwa siri za mwingine, na zake kuwa zako.
Madhaifu yako kuwa madhaifu ya mwingine, na yake kuwa yako.
Mali za mwingine kuwa zako, na zake kuwa zako.
Hiyo ndio ndoa.
Mwenza wako anapoficha Mambo yake ikiwemo namba za Siri anajaribu kueleza Jambo moja kuu kuwa Hakuamini, na kama Hakuamini basi ni kuwa Hakupendi Ile yenyewe.
Mtu Mwema na mwenye Upendo WA dhati haoni shida ku-share vitu na MTU anayempenda,
Ingawaje Kutokana na dunia hii kuwa na matapeli wengi, hasa Wanawake wanaopenda wanaume Kwa sababu ya Mali. Basi ni akheri