Wananchi wapagawa baada ya Bomoa bomoa kuwapitia Pugu

Tatizo habari inaletwa nusu nusu au pengine robo robo. Mgogoro kati ya wananchi hao na nani?

Kulikuwa na kesi kortini? Hukumu inasemaje, walipewa notisi baada ya hukumu?

Taarifa zote hizo zinawezesha mtu kutoa informed opinion. Vinginevyo ni kucheza ngoma usiyoijua.

Hata hivyo lazima kuwe na ubinadamu katika kuwaondoa kama sheria haiko upande wao. Ni kama kuchinja ng'ombe ili kupata nyama. Eti lazima achinjwe bila ukatili
 
Hakuna mahali serikali itaacha kubomoa kama sehem za waz tunaziingilia halafu mnajenga mabanda ya kufanya biashara,,haiwezekan tusiangalie upande mmoja tu washilingi
 
Umeandika ukweli kabisa mkuu
Inasikitisha sana yaani kila siku wanyonge ndio wanaoumia sijui hii serikali inawasaidia wanyonge wa aina gani.

Au ndio inawatengeneza wanyonge ili ije kuwasaidia vizuri zaidi?

Huyo mama amenigusa sana jinsi anavyolia inaonesha ni kiasi gani baada ya hapo kesho yake itakuwa unpredictable ndio maana yupo kama amewehuka. Sio rahisi kumuona mtu mwenye akili zake akipiga kelele njiani kwa mtindo huo ukiona hivyo ujue yapo yaliyomsibu.

Mwanzo wa mwaka huu ada za watoto na kila aina ya maandalizi kwa ajili ya kupeleka watoto shule huu ndio msimu wake na vyote hivyo vinahitaji hela ,Nakosa hata la kuandika jamani inauma sana ,

Ila tusirudie kosa tu kwa wakati ujao haiwezekani mtu ajiite muwekezaji wakati aliiacha ardhi kwa zaidi ya miaka watu waje wafanye maendeleo ndio ajitokeze adai eneo lake.

Serikali ya CCM haina huruma na wananchi wake sio siri maana kila kona ni vilio tu na wala hakuna msaada kutoka kwa wenye dhamana.
 
Inasikitisha sana yaani kila siku wanyonge ndio wanaoumia sijui hii serikali inawasaidia wanyonge wa aina gani.

Au ndio inawatengeneza wanyonge ili ije kuwasaidia vizuri zaidi?

Huyo mama amenigusa sana jinsi anavyolia inaonesha ni kiasi gani baada ya hapo kesho yake itakuwa unpredictable ndio maana yupo kama amewehuka. Sio rahisi kumuona mtu mwenye akili zake akipiga kelele njiani kwa mtindo huo ukiona hivyo ujue yapo yaliyomsibu.

Mwanzo wa mwaka huu ada za watoto na kila aina ya maandalizi kwa ajili ya kupeleka watoto shule huu ndio msimu wake na vyote hivyo vinahitaji hela ,Nakosa hata la kuandika jamani inauma sana ,

Ila tusirudie kosa tu kwa wakati ujao haiwezekani mtu ajiite muwekezaji wakati aliiacha ardhi kwa zaidi ya miaka watu waje wafanye maendeleo ndio ajitokeze adai eneo lake.

Serikali ya CCM haina huruma na wananchi wake sio siri maana kila kona ni vilio tu na wala hakuna msaada kutoka kwa wenye dhamana.
Divide and rule.awe mjinga ili umuongoze vizuri.akielemika atakupinga
 

Zaidi ya mabanda 30 ya wafanyabiasahara wa eneo la Pugu Bombani yamebomolewa majira ya usiku wa saa tisa na nusu kuamia leo kufuatia mgogoro wa muda mrefu kuhusu umiliki wa eneo hilo.

kwakweli hata mimi asubuhi nimeshituka kwelinilivyokuwa napita pale muda wa saa 12:30 asbh.... nani anmiliki lile eneo...?
je wale wafanyabiashara hawakugewa muda?
nani kalipia gharama za ubomoaji ?
nani kawalipa wale asikari polisi waliokuwa wamejazana....?
 
Nataka Niinyooshe Nchi Kwanza
Msiba Uusikie Kwa Jirani Tu Omba Yasikukute
Poleni Sana
 
Inasikitisha sana yaani kila siku wanyonge ndio wanaoumia sijui hii serikali inawasaidia wanyonge wa aina gani.

Au ndio inawatengeneza wanyonge ili ije kuwasaidia vizuri zaidi?

Huyo mama amenigusa sana jinsi anavyolia inaonesha ni kiasi gani baada ya hapo kesho yake itakuwa unpredictable ndio maana yupo kama amewehuka. Sio rahisi kumuona mtu mwenye akili zake akipiga kelele njiani kwa mtindo huo ukiona hivyo ujue yapo yaliyomsibu.

Mwanzo wa mwaka huu ada za watoto na kila aina ya maandalizi kwa ajili ya kupeleka watoto shule huu ndio msimu wake na vyote hivyo vinahitaji hela ,Nakosa hata la kuandika jamani inauma sana ,

Ila tusirudie kosa tu kwa wakati ujao haiwezekani mtu ajiite muwekezaji wakati aliiacha ardhi kwa zaidi ya miaka watu waje wafanye maendeleo ndio ajitokeze adai eneo lake.

Serikali ya CCM haina huruma na wananchi wake sio siri maana kila kona ni vilio tu na wala hakuna msaada kutoka kwa wenye dhamana.
kaka hii clip imenitachi sana, chozi limenidondoka aisee, kweli ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo, daah!!
 
Mpenda sifa hapa utamsikia ananawa mikono fasta na kutumbua mtu huku kulipwa hamta lipwa na nyumba zilishabomolewa.
 
Inauma sana, ila tatizo hakuna Wa kumtetea mnyonge ndani ya nchi.

Inasikitisha sana yaani kila siku wanyonge ndio wanaoumia sijui hii serikali inawasaidia wanyonge wa aina gani.

Au ndio inawatengeneza wanyonge ili ije kuwasaidia vizuri zaidi?

Huyo mama amenigusa sana jinsi anavyolia inaonesha ni kiasi gani baada ya hapo kesho yake itakuwa unpredictable ndio maana yupo kama amewehuka. Sio rahisi kumuona mtu mwenye akili zake akipiga kelele njiani kwa mtindo huo ukiona hivyo ujue yapo yaliyomsibu.

Mwanzo wa mwaka huu ada za watoto na kila aina ya maandalizi kwa ajili ya kupeleka watoto shule huu ndio msimu wake na vyote hivyo vinahitaji hela ,Nakosa hata la kuandika jamani inauma sana ,

Ila tusirudie kosa tu kwa wakati ujao haiwezekani mtu ajiite muwekezaji wakati aliiacha ardhi kwa zaidi ya miaka watu waje wafanye maendeleo ndio ajitokeze adai eneo lake.

Serikali ya CCM haina huruma na wananchi wake sio siri maana kila kona ni vilio tu na wala hakuna msaada kutoka kwa wenye dhamana.
 
Inasikitisha sana yaani kila siku wanyonge ndio wanaoumia sijui hii serikali inawasaidia wanyonge wa aina gani.

Au ndio inawatengeneza wanyonge ili ije kuwasaidia vizuri zaidi?

Huyo mama amenigusa sana jinsi anavyolia inaonesha ni kiasi gani baada ya hapo kesho yake itakuwa unpredictable ndio maana yupo kama amewehuka. Sio rahisi kumuona mtu mwenye akili zake akipiga kelele njiani kwa mtindo huo ukiona hivyo ujue yapo yaliyomsibu.

Mwanzo wa mwaka huu ada za watoto na kila aina ya maandalizi kwa ajili ya kupeleka watoto shule huu ndio msimu wake na vyote hivyo vinahitaji hela ,Nakosa hata la kuandika jamani inauma sana ,

Ila tusirudie kosa tu kwa wakati ujao haiwezekani mtu ajiite muwekezaji wakati aliiacha ardhi kwa zaidi ya miaka watu waje wafanye maendeleo ndio ajitokeze adai eneo lake.

Serikali ya CCM haina huruma na wananchi wake sio siri maana kila kona ni vilio tu na wala hakuna msaada kutoka kwa wenye dhamana.
mzee hajaja kutamka kitu hihihiiihihiiiii ila wamekosea wangelianzisha kama mza hivi hawa watu wataenda wapi jamani? [HASHTAG]#2020[/HASHTAG] usifanye makosa#
 
Back
Top Bottom