johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Wananchi wanaoishi mtaa wa Chasimba na Chatembo eneo la Wazo Tegeta wamemwomba Rais Magufuli aingilie kati mgogoro wao na kiwanda cha Cement na kuwasaidia.
Wananchi hao wamesema uamuzi wa waziri wa ardhi wa kuwataka kumlipa mzungu tsh 6400 kwa kila mita moja ya mraba kufidia maeneo yao ya makazi hawauafiki.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama
Wananchi hao wamesema uamuzi wa waziri wa ardhi wa kuwataka kumlipa mzungu tsh 6400 kwa kila mita moja ya mraba kufidia maeneo yao ya makazi hawauafiki.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama