Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,811
- 218,468
Hata kama ni Msaada lakini namna ambavyo Chalamila ametumia kuzigawa tiketi hizo za mechi ya Yanga ni kama udhalilishaji hivi.
Hivi ni kweli nchi hii imefikia dhiki ya namna hii ya watu kukanyagana hadi kukimbizwa Amana wakigombea tiketi za Yanga?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hivi ni kweli nchi hii imefikia dhiki ya namna hii ya watu kukanyagana hadi kukimbizwa Amana wakigombea tiketi za Yanga?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app