Wananchi wakanyagana wakigombea Tiketi za bure kutoka kwa RC Chalamila, Majeruhi wakimbizwa Amana

Hata kama ni Msaada lakini namna ambavyo Chalamila ametumia kuzigawa tiketi hizo za mechi ya Yanga ni kama udhalilishaji hivi.

Hivi ni kweli nchi hii imefikia dhiki ya namna hii ya watu kukanyagana hadi kukimbizwa Amana wakigombea tiketi za Yanga?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Sidhani kama hiki kinafaa kuwa kipimo cha dhiki tulizonazo watanzania. Watanzania na wa Afrika kusini mwa jangwa la sahara tuna tabia ya kupenda vya bure. Huwezi kunishawishi kwamba wote waliokanyagana hawana uwezo wa kupata buku dasi ya kuingia uwanjani.

Mfano mdogo ni namna watu wanavojifanya malemavu na wagonjwa ili waombe barabarani kwenye miji kadhaa Tz
Niliwahi kuona Mwanza mjini eneo la Pepsi(Igogo) bajaji ya mizigo ilikuwa imepakia vyombo vya plastiki ghafla vikafunguka vikadondoka vikasambaa barabarani. Almanusura watu wagongwe na magari wakigombea kuokota vyombo ambavyo hamna kinachozidi buku dukani. Sasa unataka kuniambia Mwanza mjini kuna mtu hana 500 ya kununua kikombe hadi a risk maisha kiasi kile?

Tatu kuna fuso ilikuwa imebeba pombe za viroba eneo la alikopatia ajali Sokoine likiwa linaelekea Wami Dakawa ghafla likapata ajali viroba vikasambaa barabarani. Siku ile wamasai na waluguru karibu wote walikuwa wamejaa barabarani kunywa viroba vya bure. Sasa fikiria ile barabara ilivyo busy na malori ya mikoani ugongwe ufe kisa kiroba cha bure, ni kwamba hawa watu hawana hela za kiroba cha buku?

Waswahili tuna akili tegemezi sana haijalishi tuna nini ila bado kikija cha bure tunachanganyikiwa
 
Hata kama ni Msaada lakini namna ambavyo Chalamila ametumia kuzigawa tiketi hizo za mechi ya Yanga ni kama udhalilishaji hivi.

Hivi ni kweli nchi hii imefikia dhiki ya namna hii ya watu kukanyagana hadi kukimbizwa Amana wakigombea tiketi za Yanga?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Inaumiza chadomo ikiitisha maandamano watu hawajitokezi hivi................ Niiitie da mange
 
Kesho taasisi zote zinazohusika na usalama wa uwanja wawe makini Sana. Naota mkusanyiko wa watu wengi. Cha msingi ili kuepuka msongamano wafungue uwanja mapema na Wana usalama wawe wa kutosha
 
Sidhani kama hiki kinafaa kuwa kipimo cha dhiki tulizo nazo watanzania. Watanzania na wa Afrika kusini mwa jangwa la sahara tuna tabia ya kupenda vya bure. Huwezi kunishawishi kwamba wote waliokanyagana hawana uwezo wa kupata buku dasi ya kuingia uwanjani.

Mfano mdogo ni namna watu wanavojifanya malemavu na wagonjwa ili waombe barabarani kwenye miji kadhaa Tz
Niliwahi kuona Mwanza mjini eneo la Pepsi(Igogo) bajaji ya mizigo ilikuwa imepakia vyombo vya plastiki ghafla vikafunguka vikadondoka vikasambaa barabarani. Almanusura watu wagongwe na magari wakigombea kuokota vyombo ambavyo hamna kinachozidi buku dukani. Sasa unataka kuniambia Mwanza mjini kuna mtu hana 500 ya kununua kikombe hadi a risk maisha kiasi kile?
Tatu kuna fuso ilikuwa imebeba pombe za viroba eneo la alikopatia ajali Sokoine likiwa linaelekea Wami Dakawa ghafla likapata ajali viroba vikasambaa barabarani. Siku ile wamasai na waruguru karibu wote walikuwa wamejaa barabarani kunywa viroba vya bure. Sasa fikiria ile barabara ilivo busy na malori ya mikoani ugongwe ufe kisa kiroba cha bure, ni kwamba hawa watu hawana hela za kiroba cha buku?
Waswahili tuna akili tegemezi sana haijalishi tuna nini ila bado kikija cha bure tunachanganyikiwa
Kichocheo kikubwa cha mambo haya ni umasikini

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Hata kama ni Msaada lakini namna ambavyo Chalamila ametumia kuzigawa tiketi hizo za mechi ya Yanga ni kama udhalilishaji hivi.

Hivi ni kweli nchi hii imefikia dhiki ya namna hii ya watu kukanyagana hadi kukimbizwa Amana wakigombea tiketi za Yanga?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Watz tunapenda vya bure acha tudhalilike.Hivi wangeuchuna wote bila kuziokota hiyo Rc so angejifunza.
Ifike sehemu tujithamini ili tuheshimike
 
Back
Top Bottom