Niko hapa Usseri Rombo jimboni kwake Selasini wanakijiji hawamjui kabisa Lisu..... Wengine wanasema eti Lisu wanayemjua ni mwimbaji wa nyimbo za Injili siyo mwanasiasa!
Mimi niko Usseri bwashee huku Rombo!Vijiji vya wapi wasiomjua TL Mkubwa?
Nipo Shinyanga huku na naposti hii kitu nikiwa kijiji cha Iselamagazi, Tundu Lissu ni famous kuliko Magufuli...
Huku kwa CCM wanamjua Julius K. Nyerere na kidogo Kikwete. Magufuli namna kitu. Ana Zero fame...
Wanamjua Magufuli na CCM!Kama hawamjui Lissu ndio watajua miradi ya SGR, SG na mandege?
Mimi niko Usseri bwashee huku Rombo!
Mbona mat.a..ko yanakuwasha tafuta mtu akufanyie masage,kama tundu lisu hawamjui wewe unakereka na nini?Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
Wanamjua Magufuli na CCM!
Hata mimi nimeshangaa!Ndiyo ujue unatudanganya bwashee...
Rombo yote ni CHADEMA halafu wasimjue Tundu Lissu??
Stop joking Bwashee unless uwe unaugua ugonjwa wa TUNDUPHOBIA wewe...
Umemaliza?Mbona mat.a..ko yanakuwasha tafuta mtu akufanyie masage,kama tundu lisu hawamjui wewe unakereka na nini?
Mrudishe lowasa awe mgombea wako.Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe umemjuaje na wengine wasimjueHofu kwa mtu asiyejulikana vijijini?!
Kwanini msishauriane huko kwenu?Ni ushauri tu bwashee msije kulialia eti mmeibiwa kura!
Usijali tutawaambia ni mtanzania pekee anayejulikana Alie hai ukitoa mashujaa wetu wa 1978 kagera war aliepigwa 16 bullets na akapona ila pia ujue lisu ametajwa sana kuliko KORONA hivyo usitudanganye.Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
Lissu anajulikana kuliko magu.Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
Tundu Lisu anakwenda kuizika chadema rasmi, bora hata wamuweke Mbowe anaweza angalau kutetea na kurudisha baadhi ya kura za Wachaga lkn Tundu Lisu hata kwao tu Singida hapati kura, ...