Wananchi wa Kawe walia na upinzani

Wananchi wa Kawe walia na upinzani

Mlombo

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
243
Reaction score
49
Wakazi wa Kawe wamejikuta katika wakati mgumu na kujuta kwa maamuzi waliyo yafanya mwaka 2010 katika uchaguzi mkuu. Kwa kilio chao kilianza hapo kwa kuwa walimuweka mmoja wa wamiliki wa saccoss maarufu nchini Tanzania, Halima James Mdee.

Waswahili walisema uwezi kupima kina cha maji kwa kutazama kwa kuwa wakazi wa Kawe walilisahau hilo leo wanajuta kwa nn walifanya maamuzi ya kipumbavu kiasi kile kwani wamekuwa kama chief magongoo. Leo hii Kawe ya Rita Mlaki ni bora kuliko Kawe ya Halima.

Kwanza yale yote ambayo amewahaidi hakuna hata moja ambalo ametimiza, watu wanaishi katika maisha ya tabu kwani hata mazingira ya Kawe ni utata mtupu.

Ushauri wangu kwa wakazi wa Kawe kuwa ukiona mtu ambaye anampinga hata Mungu wake ambaye amemuumba basi ujue kuwa mtu huyo ana matatizo ndani ya kichwa chake hivyo mlifanya dhambi kubwa sana ndugu zangu wa Kawe.

Ebu cheki hayo mazingira
 

Attachments

  • IMG_20130702_180149_0.jpg
    IMG_20130702_180149_0.jpg
    315.2 KB · Views: 731
  • IMG_20130702_180210_0.jpg
    IMG_20130702_180210_0.jpg
    403.2 KB · Views: 624
shule za magamba zimekuharibu m4c itabd ikupe msaada wariya ndo nini
 
Huwezi kupotosha ukweli. Najua ujui nenda kasome ubunilizi.
 
Wakazi wa kawe wamejikuta katika wakati mgumu na kujuta kwa maamuzi waliyo yafanya mwaka 2010 katika uchaguzi mkuu. Kwa kilio chao kilianza hapo kwa kuwa walimuwaka mmoja wa wamiliki wa saccoss maarufu nchini Tanzania, Halima James Mdee. Waswahili walisema uwezi kupima kina cha maji kwa kutazama kwa kuwa wakazi wa kawe walilisahau hilo leo wanajuta kwa nn walifanya maamuzi ya kipumbavu kiasi kile kwan wamekuwa kama chief magongoo. Lel hii kawe ya Rita Mlaki ni bora kuliko kawe ya Halima( lesbian). Kwanza hale yote ambayo amewahaidi hakuna hata moja ambalo mametimiza watu wanishi katika maisha ya tabu kwani hata mazingira ya kawe ni utata mtupu. Ushauri wangu kwa wakazi wa kawe kuwa ukiona mtu ambaye anampinga hata mungu wake ambaye amemuumba basi ujue kuwa mtu huyo hana matatizo.ndani ya kichwa chake hivyo mlifanya dhambi kubwa sana ndugu zangu wa.kawe na omba
mtupu kwa mungu kabla siku zenu za kuwa dunia azijaisha pia
kuwaukumu saccoss( chadema) na saccos nyingine mwaka 2014 na 2015

Ebu cheki hayo mazingira
Kwanini swala hili limhusu Halima Mdee na siyo kikwete, au diwani, mwenyekiti wa mtaa husika..Mimi niko Bunju najivunia kuwa na na bunge wa Chadema na wananchi wenye akili tuko upande huo, sina uhakina na matahira kama wewe mtakuwa upande gani...
 
Halima mdee sawa na mzingo wa kuni kawe katibu wa Saccos yako.analijua hilo ndo maana anataka kumleta mchumba wake wa kihaya
 
Wakazi wa kawe wamejikuta katika wakati mgumu na kujuta kwa maamuzi waliyo yafanya mwaka 2010 katika uchaguzi mkuu. Kwa kilio chao kilianza hapo kwa kuwa walimuwaka mmoja wa wamiliki wa saccoss maarufu nchini Tanzania, Halima James Mdee. Waswahili walisema uwezi kupima kina cha maji kwa kutazama kwa kuwa wakazi wa kawe walilisahau hilo leo wanajuta kwa nn walifanya maamuzi ya kipumbavu kiasi kile kwan wamekuwa kama chief magongoo. Lel hii kawe ya Rita Mlaki ni bora kuliko kawe ya Halima( lesbian). Kwanza hale yote ambayo amewahaidi hakuna hata moja ambalo mametimiza watu wanishi katika maisha ya tabu kwani hata mazingira ya kawe ni utata mtupu. Ushauri wangu kwa wakazi wa kawe kuwa ukiona mtu ambaye anampinga hata mungu wake ambaye amemuumba basi ujue kuwa mtu huyo hana matatizo.ndani ya kichwa chake hivyo mlifanya dhambi kubwa sana ndugu zangu wa.kawe na omba
mtupu kwa mungu kabla siku zenu za kuwa dunia azijaisha pia
kuwaukumu saccoss( chadema) na saccos nyingine mwaka 2014 na 2015

Ebu cheki hayo mazingira

Njaa mwanamalegeza, njaa itakufanya utumiwe sana! Kila la kheri mtumwa wa njaa!
 
Nashukuru kwa kujua mawazo yakk kwani hata wenye mawazo mgando pia wana haki ya kutoa mawazo yao. Ebu nitajie kitu gani ambacho mdee amefanya unajivunia nacho?
 
Thread imeandikwa kwa jazba sana with no logic.
Mlombo think critically.
 
Last edited by a moderator:
Is JF loosing credibility? what a heading? it took me some minutes to understand the writer's intention.huko ccm kumejaa majanga, na huyo usishangae kuwa ndio katibu mwenezi wao.
 
Halima mdee sawa na mzingo wa kuni kawe katibu wa Saccos yako.analijua hilo ndo maana anataka kumleta mchumba wake wa kihaya
Mambo ya uchumba humu yanatuhusu nini au mmegombea bwana na Halima.
 
Ok njaa kwa binadamu ni kawaida na kuhusu suala la njaa ndio lilolomfanya Mbowe aende Ikulu. Pia njaa ndo iliyomfanya dr slaa kujiunga na Saccos japo chama cha siasa anakijua
 
wana kawe hawa "riyi".nadhan we ndio una "riya" kwa upinzani kuchukua jimbo la kawe.
 
Nashukuru kwa kujua mawazo yakk kwani hata wenye mawazo mgando pia wana haki ya kutoa mawazo yao. Ebu nitajie kitu gani ambacho mdee amefanya unajivunia nacho?
kuelimisha chizi unahiyaji moyo binafsi sina muda wa kukutajia maana kama wewe ni mkazi wa jimbo hilo utakuwa unajua kazi alizofanya..

kumwelimisha ta
 
Nashukuru kwa kujua mawazo yakk kwani hata wenye mawazo mgando pia wana haki ya kutoa mawazo yao. Ebu nitajie kitu gani ambacho mdee amefanya unajivunia nacho?
Hujui wananchi anavyo tusaidi kwenye matatizo yetu ya ardhi kawaulize majembe.
 
Mwanzisha mada anafikiri yeye ana akili sana kuzidi wananchi wanaoishi jimbo la Kawe.
 
Wakazi wa Kawe wamejikuta katika wakati mgumu na kujuta kwa maamuzi waliyo yafanya mwaka 2010 katika uchaguzi mkuu. Kwa kilio chao kilianza hapo kwa kuwa walimuweka mmoja wa wamiliki wa saccoss maarufu nchini Tanzania, Halima James Mdee.

Waswahili walisema uwezi kupima kina cha maji kwa kutazama kwa kuwa wakazi wa Kawe walilisahau hilo leo wanajuta kwa nn walifanya maamuzi ya kipumbavu kiasi kile kwani wamekuwa kama chief magongoo. Leo hii Kawe ya Rita Mlaki ni bora kuliko Kawe ya Halima.

Kwanza yale yote ambayo amewahaidi hakuna hata moja ambalo ametimiza, watu wanaishi katika maisha ya tabu kwani hata mazingira ya Kawe ni utata mtupu.

Ushauri wangu kwa wakazi wa Kawe kuwa ukiona mtu ambaye anampinga hata Mungu wake ambaye amemuumba basi ujue kuwa mtu huyo ana matatizo ndani ya kichwa chake hivyo mlifanya dhambi kubwa sana ndugu zangu wa Kawe.

Ebu cheki hayo mazingira

Hapa ni Buguruni.....sijui nako ni jimbo la CHADEMA?

images
 
Wakazi wa Kawe wamejikuta katika wakati mgumu na kujuta kwa maamuzi waliyo yafanya mwaka 2010 katika uchaguzi mkuu. Kwa kilio chao kilianza hapo kwa kuwa walimuweka mmoja wa wamiliki wa saccoss maarufu nchini Tanzania, Halima James Mdee.

Waswahili walisema uwezi kupima kina cha maji kwa kutazama kwa kuwa wakazi wa Kawe walilisahau hilo leo wanajuta kwa nn walifanya maamuzi ya kipumbavu kiasi kile kwani wamekuwa kama chief magongoo. Leo hii Kawe ya Rita Mlaki ni bora kuliko Kawe ya Halima.

Kwanza yale yote ambayo amewahaidi hakuna hata moja ambalo ametimiza, watu wanaishi katika maisha ya tabu kwani hata mazingira ya Kawe ni utata mtupu.

Ushauri wangu kwa wakazi wa Kawe kuwa ukiona mtu ambaye anampinga hata Mungu wake ambaye amemuumba basi ujue kuwa mtu huyo ana matatizo ndani ya kichwa chake hivyo mlifanya dhambi kubwa sana ndugu zangu wa Kawe.

Ebu cheki hayo mazingira

kwanza rekebisha kauli yako kwani umetumia lugha ya kuudhi na kuchefua ingawa sio tusi kwa sheria za bongo (WAPUMBAVU) , pia huo utakuwa ni uzushi na unafiki wa mchana kweupe kusema kuwa "YOTE ALIYOWAHAIDI HAKUNA HATA MOJA ALILOWAFANYIA" huo ni iongo mkubwa xana kwani hata HANSARD za bunge na jiji zinaweza thibitisha hilo, na kwa kauli mfu kama hiyo yako mimi naona wewe unahitaji maombi kwani unaonekana umekunywa maji ya bendera ya magamba chini ya usimamizi wa " babu wanzita". na pia uchifu mangungo wa msovero unadhihirika dhahiri bila shari kwa serikali ya magamba kumbuka juzi kati alipokuja "mnene" wa sayari ya 3.
 
Mbunge ni mtunga sheria na mwakilishi wa wananchi bungeni ni si msafisha mitaro au mzoa taka. Na hayo mambo ya usagaji sijui mchumba yanakuhusu?? Kawe ni miongoni mwa majimbo yaliyojaa wasomi hivyo wanajua walichokifanya na mwaka 2015 atashinda kwa kishindo. Wapiga kura wake tunauona utendaji wake uliotukuka
 
Back
Top Bottom