Chuki binafsi tu. Tatizo kama la hiyo picha uliyotuonyesha mbona jepesi tu? Serikali ya mtaa ambaye mkiti wake na kamati yake ni wa CCM walitakiwa waibue tatizo hilo walifikishe kwa diwani aliyechakachua ambaye ni wa CCM! Baada ya hapo linapelekwa manispaa ambapo mbunge anapaswa alipigie debe fedha zipatikane na kazi ifanyike. Tatizo ni kwamba hawa CCM hawataki kushirikiana na Mbunge kwa hiyo usitegemee mbunge akazunguke mtaani kutafuta maji machafu ambayo hayana njia ya kutokea.
Yako mengi tu ambayo yangefanyika lakini ujinga wa viongozi wa CCM ndio unatukwaza. "Kwenye maendeleo hakuna chama" Namnukuu OBAMA.
Yako mengi tu ambayo yangefanyika lakini ujinga wa viongozi wa CCM ndio unatukwaza. "Kwenye maendeleo hakuna chama" Namnukuu OBAMA.