Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
wandugu naomba kuwataarifu kwamba leo tutaanza mgomo rasmi wa kuikataa serikali kwani imeshindwa kufanya maamuzi muhimu kwa taifa kama vile mafuta, umeme ufisadi na kero nyingine mbali mbali ambazo wanazijua wamefikishiwa bila majibu.
so leo ifikapo saa 11 jioni muda wa kutoka maofisini ukishaingia kwenye main road funga vioo vyako zima gari shuka kuashiria kuikataa serikali na kuishiwa mafuta. kumbuka huu ni wito kwa watanzania wote na tunaimani tuko pamoja kwa ni sasa tumechoka serikali isiyokuwa na maamuzi muhimu na magumu.
PAKI GARI HAPOHAPO KWENYE MAIL ROAD MARA BAADA YA KUINGIA KWA MAIROAD. WATANZANIA KWA PAMOJA TUNAWEZA
so leo ifikapo saa 11 jioni muda wa kutoka maofisini ukishaingia kwenye main road funga vioo vyako zima gari shuka kuashiria kuikataa serikali na kuishiwa mafuta. kumbuka huu ni wito kwa watanzania wote na tunaimani tuko pamoja kwa ni sasa tumechoka serikali isiyokuwa na maamuzi muhimu na magumu.
PAKI GARI HAPOHAPO KWENYE MAIL ROAD MARA BAADA YA KUINGIA KWA MAIROAD. WATANZANIA KWA PAMOJA TUNAWEZA