Wananchi Simiyu wawajengea walimu nyumba za matope

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
FB_IMG_1691601160006_1.jpg

HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.

Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.

"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
 
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.

Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.

"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi

#EastAfricaTV
FB_IMG_1691601160006.jpg
 
Back
Top Bottom