Wananchi wa Jimbo la Iramba hususan wakazi wa Maeneo ya Kinampanda na maeneo jirani tulamlalamikia mbunge wetu Mwigulu Nchemba kwani barabara za vijijini ni mbaya sana na hazipitiki hasa kipindi hiki cha mvua.
Mfano mdogo barabara ya kuingia Kituo cha Afya Kinampanda imejaa utelezi haipiti Mwigulu ameshindwa kuweka hata molamu lakini pia kuna shida kubwa ya maji.
Swali kwa mbunge wetu fedha anazotumia kufadhili mambo ya ovyo ovyo kwanini asingeleta huku tukaboreshewa miundombinu ya barabara?
Mlio karibu na Mwigulu tunaomba mumfikishie malalamiko yetu wananchi wa Kinampanda Iramba Singida.
Mfano mdogo barabara ya kuingia Kituo cha Afya Kinampanda imejaa utelezi haipiti Mwigulu ameshindwa kuweka hata molamu lakini pia kuna shida kubwa ya maji.
Swali kwa mbunge wetu fedha anazotumia kufadhili mambo ya ovyo ovyo kwanini asingeleta huku tukaboreshewa miundombinu ya barabara?
Mlio karibu na Mwigulu tunaomba mumfikishie malalamiko yetu wananchi wa Kinampanda Iramba Singida.