Kitila Mkumbo asema kwa mujibu wa utafiti mbunge aliyemtangulia alikuwa haonekani jimboni? Aeleza anakamilisha pia utafiti wa ujenzi wa barabara

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Kitila Mkumbo jimbo hakiendeshwi kwa utafiti linaendeshwa kwa kupeleka maendeleo. Wananchi wamekupa dhamana unatakiwa kuwaeleza umefanya nini siyo kufanya utafiti kama mtangulizi wako alikuwa anaonekana jimboni.

Wananchi wanataka maendeleo na siyo kumwona Mbunge . Pili, nani alikutuma ukafanye utafiti kuhusu mtangulizi wako? Respondents walikuwa wakina nani?

Unasema kwa mijini wa utafiti wananchi wanataka barabara, wakati unagombea uliwaambia wana ubungo unaomba kura ukafanye utafiti? Achana na siasa za darasani peleka maendeleo uliyojinadi kupeleka kwa wananchi.

Tulitegemea ukazungumze na wananchi kwenye mikutano ya adhara ila unajua hakuna anayejitokeza huko jimboni kwako. Hata ufanye nini ni vigumu kushinda ubunge, kama ilipozaliwa hakuna anayekuhitaji unategemea ukawadanganye wa mjini .....ulipaswa kupeleka maendeleo jimboni now time is out umeanza kulalamikia utafiti...
 
Kitila Mkumbo jimbo hakiendeshwi kwa utafiti linaendeshwa kwa kupeleka maendeleo. Wananchi wamekupa dhamana unatakiwa kuwaeleza umefanya nini siyo kufanya utafiti kama mtangulizi wako alikuwa anaonekana jimboni.

Wananchi wanataka maendeleo na siyo kumwona Mbunge . Pili, nani alikutuma ukafanye utafiti kuhusu mtangulizi wako? Respondents walikuwa wakina nani?

Unasema kwa mijini wa utafiti wananchi wanataka barabara, wakati unagombea uliwaambia wana ubungo unaomba kura ukafanye utafiti? Achana na siasa za darasani peleka maendeleo uliyojinadi kupeleka kwa wananchi.

Tulitegemea ukazungumze na wananchi kwenye mikutano ya adhara ila unajua hakuna anayejitokeza huko jimboni kwako. Hata ufanye nini ni vigumu kushinda ubunge, kama ilipozaliwa hakuna anayekuhitaji unategemea ukawadanganye wa mjini .....ulipaswa kupeleka maendeleo jimboni now time is out umeanza kulalamikia utafiti...
Naona Profesa sasa ameanza kujichanganya na kuchanganyikiwa yeye mwenyewe.
Ila akumbuke tu kwamba "Actions speak louder than words."
 
Hivi kweli mbunge anachaguliwa anakaa jimboni alafu baada ya miaka 4 anaibuka anasema kwa mujibu wa utafiti wake wananchi wanataka barabara dah!

Kwahiyo wakati wa kampeni alijinadi vipi? Hakuwa na vision yoyote?
Kujua Wananchi wanahitaji barabara kunahitaji utafiti gani?
 
Hivi kweli mbunge anachaguliwa anakaa jimboni alafu baada ya miaka 4 anaibuka anasema kwa mujibu wa utafiti wake wananchi wanataka barabara dah!

Kwahiyo wakati wa kampeni alijinadi vipi? Hakuwa na vision yoyote?
Anasema wananchi wa ubunge walisema kipaombele Chao kikubwa ni mbunge aonekane jimboni hivyo amejitahidi kuonekana....

Huyu ni profesa na amepewa dhamana yakupanga mipango ya nchi......

Ni nchi gani imewahi kuchagua Kiongoz ili aonekane? Kwamba akionekana wananchi wanafurahi.........CCM tuondoleeni hawa watu
 
Kubenea na Kitila hawatofautiani!
Bora Kubenea aligombea kwa kifua chake mwenyewe na akapata kuliko huyu aliyebebwa Kama mzigo na marehemu. Sasa hivi marehemu amezikwa, Sera Hana, hapendwi, hajukikani ndio anataka kufanya utafiti.
Mimi nina strong degree halali kabisa, huwa najiuliza Kama Kuna umuhimu wa kusomea PhD. I will not elaborate.
 
Kitila Mkumbo jimbo hakiendeshwi kwa utafiti linaendeshwa kwa kupeleka maendeleo. Wananchi wamekupa dhamana unatakiwa kuwaeleza umefanya nini siyo kufanya utafiti kama mtangulizi wako alikuwa anaonekana jimboni.

Wananchi wanataka maendeleo na siyo kumwona Mbunge . Pili, nani alikutuma ukafanye utafiti kuhusu mtangulizi wako? Respondents walikuwa wakina nani?

Unasema kwa mijini wa utafiti wananchi wanataka barabara, wakati unagombea uliwaambia wana ubungo unaomba kura ukafanye utafiti? Achana na siasa za darasani peleka maendeleo uliyojinadi kupeleka kwa wananchi.

Tulitegemea ukazungumze na wananchi kwenye mikutano ya adhara ila unajua hakuna anayejitokeza huko jimboni kwako. Hata ufanye nini ni vigumu kushinda ubunge, kama ilipozaliwa hakuna anayekuhitaji unategemea ukawadanganye wa mjini .....ulipaswa kupeleka maendeleo jimboni now time is out umeanza kulalamikia utafiti...
Aliyewabeba mmemgeuka huko aliko nyote mnakwenda na maji nyambafu!
 
Kitila Mkumbo jimbo hakiendeshwi kwa utafiti linaendeshwa kwa kupeleka maendeleo. Wananchi wamekupa dhamana unatakiwa kuwaeleza umefanya nini siyo kufanya utafiti kama mtangulizi wako alikuwa anaonekana jimboni.

Wananchi wanataka maendeleo na siyo kumwona Mbunge . Pili, nani alikutuma ukafanye utafiti kuhusu mtangulizi wako? Respondents walikuwa wakina nani?

Unasema kwa mijini wa utafiti wananchi wanataka barabara, wakati unagombea uliwaambia wana ubungo unaomba kura ukafanye utafiti? Achana na siasa za darasani peleka maendeleo uliyojinadi kupeleka kwa wananchi.

Tulitegemea ukazungumze na wananchi kwenye mikutano ya adhara ila unajua hakuna anayejitokeza huko jimboni kwako. Hata ufanye nini ni vigumu kushinda ubunge, kama ilipozaliwa hakuna anayekuhitaji unategemea ukawadanganye wa mjini .....ulipaswa kupeleka maendeleo jimboni now time is out umeanza kulalamikia utafiti...
Waziri wa Mipango asiye na Mipango!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kitila Mkumbo jimbo hakiendeshwi kwa utafiti linaendeshwa kwa kupeleka maendeleo. Wananchi wamekupa dhamana unatakiwa kuwaeleza umefanya nini siyo kufanya utafiti kama mtangulizi wako alikuwa anaonekana jimboni.

Wananchi wanataka maendeleo na siyo kumwona Mbunge . Pili, nani alikutuma ukafanye utafiti kuhusu mtangulizi wako? Respondents walikuwa wakina nani?

Unasema kwa mijini wa utafiti wananchi wanataka barabara, wakati unagombea uliwaambia wana ubungo unaomba kura ukafanye utafiti? Achana na siasa za darasani peleka maendeleo uliyojinadi kupeleka kwa wananchi.

Tulitegemea ukazungumze na wananchi kwenye mikutano ya adhara ila unajua hakuna anayejitokeza huko jimboni kwako. Hata ufanye nini ni vigumu kushinda ubunge, kama ilipozaliwa hakuna anayekuhitaji unategemea ukawadanganye wa mjini .....ulipaswa kupeleka maendeleo jimboni now time is out umeanza kulalamikia utafiti...
Na Samia naye marais watano(5) waliopita hawakuwahi kuifungua Tanzania kimataifa, yeye kaanza kazi kwa kuileta DPW.
 
Kwa kweli, wakina Mzee Waryoba walipata elimu ya sheria na kuhitimu. Mungu aliwapa uzalendo. Wakati wa kuandaa katiba, watu wamepuuza Ibara ya 77.

Wanashuku na kuchagua wabunge katika wakati wa Tanzania. Rais asipokosa mawaziri wa diplomasia, wamempa nafasi 10. Zimwi la wasomi limeingia, kila jimbo linakurupukia wasomi, wakitoka Jalalani. Watu wanatoka vyuo kwa utafiti, wanakimbilia uwakilishi, wakikumbuka utafiti.

Hivi si viroja, ni balaa, linahitaji maombi mengi na makubwa. Wasomi wetu wa Tanzania, Mungu aiokoe na kuibariki Tanzania.
 
Back
Top Bottom