benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Wananchi wa Bagamoyo mkoani Pwani, wataendelea kusimama na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kuhakikisha Bandari ya Dares Salaam inaleta tija zaidi kwa Watanzania wanufaike kichumi.
Hayo yalisemwa na Mbunge Viti Maalumu (CCM), Mkoa wa Pwani, Subira Mgalu, wakati akizungumza na wananchi katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi la Shina Namba 4 la CM Magulumatali, Kata ya Talawanda ambapo mbio za
Bendera ya CMM zilifika kijijini hapo.
Subira alisema uwekezai huo wa Bandari ya Dar es Salaam, unatarajia kuiingizia nchi sh. trilioni 27 kwa mwaka, fedha ambazo zitaisaidia chini kwa kiasi kikubwa kutimiza malengo ya bajeti ya nchi. "Sisi wana Bagamoyo, tunatoa
salamu kwa wanaoendelea kuibeza serikali, hatupo pamoja nao na wasikanyage kabisa na kwa kuwa kupitia kampeni hii ya mbio za bendera, Chama kimeendelea kumarika wahesabu huku hawama chao," alisema.
Subira alisema bandari hiyo, haijauzwa bali ipo katika hatua za mwanzo za kuangalia makubaliano ambapo serikali itapata nafasi ya kuangalia na kurekebisha masharti ya mkataba wa bandari hiyo, endane na matakwa ya maslahi ya Watanzania kwa kushirikiana na wawekezaii hao kutoka Dubai. Aidha, aliwataka wana CCM,
wasikubali kupotoshwa na wanasheria uchwara, wanaopotosha umma
Hayo yalisemwa na Mbunge Viti Maalumu (CCM), Mkoa wa Pwani, Subira Mgalu, wakati akizungumza na wananchi katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi la Shina Namba 4 la CM Magulumatali, Kata ya Talawanda ambapo mbio za
Bendera ya CMM zilifika kijijini hapo.
Subira alisema uwekezai huo wa Bandari ya Dar es Salaam, unatarajia kuiingizia nchi sh. trilioni 27 kwa mwaka, fedha ambazo zitaisaidia chini kwa kiasi kikubwa kutimiza malengo ya bajeti ya nchi. "Sisi wana Bagamoyo, tunatoa
salamu kwa wanaoendelea kuibeza serikali, hatupo pamoja nao na wasikanyage kabisa na kwa kuwa kupitia kampeni hii ya mbio za bendera, Chama kimeendelea kumarika wahesabu huku hawama chao," alisema.
Subira alisema bandari hiyo, haijauzwa bali ipo katika hatua za mwanzo za kuangalia makubaliano ambapo serikali itapata nafasi ya kuangalia na kurekebisha masharti ya mkataba wa bandari hiyo, endane na matakwa ya maslahi ya Watanzania kwa kushirikiana na wawekezaii hao kutoka Dubai. Aidha, aliwataka wana CCM,
wasikubali kupotoshwa na wanasheria uchwara, wanaopotosha umma