Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Hayo ni yale makanisa ya waroho
tatzo miguu yake ni mizuri yenye kuvutia tena imekaa kisexsexsexsex to infinity....Na nyie mmezidi .
Dada wa watu kapendeza.
Hayuko uchi, matiti wala sehemu za juu za mwili hazionekani. Mapaja hayaonekani ni miguu tu na mikono inayoonekana.
Acha kufikiria na kichwa Cha chini masaa yote.
Utajiingiza kwenye matatizo ndugu.
Mkuu nisamehe. Mimi nilihudhuria tu semina hapo ni ukumbi wa semina na sikudaka jina lake kirahisiSikutengemea kama mleta thread ningemdharau kiasi hiki
Yaani unaanzisha thread kama hii yenye picha nzuri kama hii halafu hujaweka number zake plc edit na uweke number tafadhali
pastor mwenyew warekebishe waumin wakoo bhanMkuu nisamehe. Mimi nilihudhuria tu semina hapo ni ukumbi wa semina na sikudaka jina lake kirahisi
Ila sasa anko hawa sio wame cover mno!! ?-Ubarikiwe sana mchungaji kwa kuliona hili.
-Wanapaswa wavae kama hivi mchungaji.
View attachment 447332
View attachment 447333
Biblia inasema miili yetu ni hekalu LA roho mtakatifu,hii inamaanisha ndani ya hekalu ( mwili) kuna madhabahu ya BWANA kwa mantiki inatupasa tuvae nguo za staha wakati wote bila kujali unaenda sehemu gani ili tuwe kieelezo kwao wasio amino.
Mkuu nisamehe. Mimi nilihudhuria tu semina hapo ni ukumbi wa semina na sikudaka jina lake kirahisi
Yahani watu wana weza kusema kitu kwa confidence cana kwamba wana uhakika ! Mhhh bora fb cio JF.Ndiyo ni kikuku. Je,kuna mtu anaweza kuthibitisha hapo ni mazabauni?
Yes hii ni heshima kubwaaaa-Ubarikiwe sana mchungaji kwa kuliona hili.
-Wanapaswa wavae kama hivi mchungaji.
View attachment 447332
View attachment 447333
Hapo concetration itakuwa kwa Bwana mtakatifu, kuliko akivaa vazi la mitego wakati wadada wamejaaliwa maumbo mazuri. Imani itapungua na pia akili inaweza kuhama ukaanza kufikiria mengine badala ya kufanya ibada.Ila sasa anko hawa sio wame cover mno!! ?
Ila pia inatakiwa iwe wastani kwa ajili ya kunogesha vutoHapo concetration itakuwa kwa Bwana mtakatifu, kuliko akivaa vazi la mitego wakati wadada wamejaaliwa maumbo mazuri. Imani itapungua na pia akili inaweza kuhama ukaanza kufikiria mengine badala ya kufanya ibada.
Mimi nimeulizia kuhusu kikuku,madhabahu ni non of my business ndio maana sijaongelea kuhusu hilo.Ndiyo ni kikuku. Je,kuna mtu anaweza kuthibitisha hapo ni madhabauni?
MCHUNGAJI KAOGOPA WEKA NAMBA ZA MWANAKWAYA WAKE KWANI HUMU NDANI KUNA MAJAMBAZI...Sikutengemea kama mleta thread ningemdharau kiasi hiki
Yaani unaanzisha thread kama hii yenye picha nzuri kama hii halafu hujaweka number zake plc edit na uweke number tafadhali