bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
Kwanza wanakwaya hawana shida,shida iko Praise&Worship team.
Kweli mkuu, VP unamjua ?Na nyie mmezidi .
Dada wa watu kapendeza.
Hayuko uchi, matiti wala sehemu za juu za mwili hazionekani. Mapaja hayaonekani ni miguu tu na mikono inayoonekana.
Acha kufikiria na kichwa Cha chini masaa yote.
Utajiingiza kwenye matatizo ndugu.
Ila pia inatakiwa iwe wastani kwa ajili ya kunogesha vuto
Japo haitakiwi kuzidisha