senator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 1,924
- 66
Kwa wale waliosoma Jitegemee Sec School (chini ya uongozi wa Massawe) enzi hizo za kutokea kuanzishwa kwake mpaka sasa watakuwa na mengi ya kuzungumza.
Kwa kuanzia kuna walimu Walikuwa wanasifa za hatari kwenye kuchapa viboko..hii shule ilikuwa nusu walimu wajeshi na wengine raia mambo mengi yalikuwa kijeshijeshi tu..Kwata kwa kwenda mbele....
Kuna Mwalimu alikuwa akiitwa WAJADI(sijui kama bado yupo)..huyu baba nilimnyooshea mikono kwenye bakora! Mwalimu Sabini..Bashaka..bakuza na kibaraka Francis Ndeha..hawa walikuwa ni maservice wa JKT baadae wakawa walimu..walichezea sana ****** ya wanafunzi kwa bakora.Wanajiteute wataongea zaidi kama mpo tukumbuke tulipotoka..:A S-danger:
Kwa kuanzia kuna walimu Walikuwa wanasifa za hatari kwenye kuchapa viboko..hii shule ilikuwa nusu walimu wajeshi na wengine raia mambo mengi yalikuwa kijeshijeshi tu..Kwata kwa kwenda mbele....
Kuna Mwalimu alikuwa akiitwa WAJADI(sijui kama bado yupo)..huyu baba nilimnyooshea mikono kwenye bakora! Mwalimu Sabini..Bashaka..bakuza na kibaraka Francis Ndeha..hawa walikuwa ni maservice wa JKT baadae wakawa walimu..walichezea sana ****** ya wanafunzi kwa bakora.Wanajiteute wataongea zaidi kama mpo tukumbuke tulipotoka..:A S-danger: