WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

tatizo woga wako kwamba ntakufirisi huhuhuhu hilo jina linakutisha sana eee
 
bwai a jamaican way of saying 'boy'. na ni jina langu la utani pia, so i like it kwa kweli, na pia friends of mine walikuwa wanashindwa kulitaja vizuri jina langu la nyumbani 'boi', wakawa wananiita bwai.
 
Me Id yangu inatokana na dawa ya kichwa zamani kipindi cha nyerere...ilikuwa inaitwa aspro..wakati huo ukitumwa dukani unaenda unaimba asporo asporo asporo vinginevyo unasahau...duh kitambo kweli
 
tatizo woga wako kwamba ntakufirisi huhuhuhu hilo jina linakutisha sana eee

Manka utasababisha mtoto wa mwenzio nijiMunishi tafadhari Mungu anakuangalia kwa jicho la 5.
 
Ennie from N,initial ya jina langu.
Situmii avatar.
 
Last edited by a moderator:
Nampenda sana beyonce,a real diva,richgirl,hardworking,got curves,got a successfulman jigga,baby ivy ,beautiful life tho challenging na mengine mengi,she always inspires me nifike mbali er'day
 
Picha yangu...inamanisha kazi yangu...,jina langu linaimanisha "kiunganishi" yaani wale waliosoma engineering/physics,/chimistry inawaingia haraka....hata hivyo yule mtu anayekusanya nauli kwenye magar ya abris anaitwa conductor...Wakati mwingine uwakumbusha abiria vituo vyakushuka,ushauri nk..
 
Me Id yangu inatokana na dawa ya kichwa zamani kipindi cha nyerere...ilikuwa inaitwa aspro..wakati huo ukitumwa dukani unaenda unaimba asporo asporo asporo vinginevyo unasahau...duh kitambo kweli

A S P R O

Aspro ni dawa ya kweli...

Hutuliza homa, kichwa, mafua na flu mara moja...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom