Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
yaani acha tu.
Ok! Ndio nilihisi unaweweseka ndotoni! Na hata uliposhtuka uliniangalia kwa haya na Guilty fulani kwa Sababu Ulimtaja Mia, Bujibuji na Washawasha ( Sijui ndio iliwaona ndotoni) lakini baada ya ku realize kwamba ni ndoto ulienedelea Kulala! Ila ipo siku nitakubaini tu