wanaJF niliokutana nao.....wamenisababishia balaa

yaani acha tu.

Ok! Ndio nilihisi unaweweseka ndotoni! Na hata uliposhtuka uliniangalia kwa haya na Guilty fulani kwa Sababu Ulimtaja Mia, Bujibuji na Washawasha ( Sijui ndio iliwaona ndotoni) lakini baada ya ku realize kwamba ni ndoto ulienedelea Kulala! Ila ipo siku nitakubaini tu
 
Ok! Ndio nilihisi unaweweseka ndotoni! Na hata uliposhtuka uliniangalia kwa haya na Guilty fulani kwa Sababu Ulimtaja Mia, Bujibuji na Washawasha ( Sijui ndio iliwaona ndotoni) lakini baada ya ku realize kwamba ni ndoto ulienedelea Kulala! Ila ipo siku nitakubaini tu

duu hii naona kama ni ndoto nyingine.
hao watu hata sina mazoea nao kwa kweli labda bujibuji.
Ukinibaini si utanisamehe tu au?
 
Mie nimejifunza kitu kimoja kikubwa,

Tujitahidi kutumia vizuri PM!!

Babu DC!!
 
Yaaani Cheusi wewe.... Dah! Bado roho yangu inadunda! lol

Kama roho yako imedunda kwa hili na mie mumeo roho yangu ifanyeje? Mh! Naanza kukufuatilia kwa karibu maana naanza kuamini wewe ni yule tunaefahamiana kiaina! Wajumbe wengine JF hamjaona post hii tafadhali!
 
Hahahahaha lol! Mume anamtongoza Mke kupitia JF. Fikiria hilo varangati lake siku hiyo watakayoamua kukutana. Sijui ni yupi atamuona mwenzie ni "mcharuko" zaidi. :):)

Hapo mshindi atakuwa ni yule ambaye atapata ujanja ujanja haraka na kuweza kumgeuzia kibao...

Unamweleza kuwa mie nilikujua mapema tu na kuamua kukuwekea mtego kama ule wa Kokutona na BF kwenye Facebook!!
 
Hapana Cheusi mzuri,sikuombei balaa, nakuombea heri sana...both sides zingekuwa na wakati mgumu...ininatamani...lol
najua ingetokea kweli na ikatufikia hapa kibarazan wengi wangejifunza,na pia nadhan tatizo lingesababishwa na pm ila kwa upande wangu ni kwamba sipend tu kujulikana lkn kama jamaa yangu akinijua kuwa mi ndo cheusie wala angeshangaa sana lkn pasingekuwa na tatizo sbb kwanza ningemruhusu hata akitaka pm nimuoneshe kwa sharti la yeye anioneshe pia,akigoma ndo hapo kibao kitamgeukia.
.
 
Mie nimejifunza kitu kimoja kikubwa,

Tujitahidi kutumia vizuri PM!!

Babu DC!!


asante kwa kujifunza ila babu mbona unaonekana kama una hofu kidogo.
mfano bib DC siku akikugundua kuwa ww ni mwanajf hlfu akakuomba umruhusu achungulie pm chamber yako itawezekana?
 
Sijui. Ila utuambie kama ni wewe uliezimia au la!


Kwani nimeshindwa nini kusema toka mwanzo??

Au unataka niseme kile unachotaka wewe??

Anyway.....Cheusi anamjua aliyezimia zaidi ya mtu yeyote!.... Ila naamini siyo wewe!!
 
Hapo mshindi atakuwa ni yule ambaye atapata ujanja ujanja haraka na kuweza kumgeuzia kibao...

Unamweleza kuwa mie nilikujua mapema tu na kuamua kukuwekea mtego kama ule wa Kokutona na BF kwenye Facebook!!

kweli utu uzima dawa,kama si babu DC mbinu kama hiz za kukwepea vihunzi siku nikikamatwa ningezijulia wapi.Nimejifunza kitu toka kwa babu.
 
asante kwa kujifunza ila babu mbona unaonekana kama una hofu kidogo.
mfano bib DC siku akikugundua kuwa ww ni mwanajf hlfu akakuomba umruhusu achungulie pm chamber yako itawezekana?

Nilipata hofu kwa sababu nilijua kinachofuata ni kutuma salamu za R.I.P!! Babu hataki ya mambo ya kuwapoteza wajukuu kabla

hawajamaliza kibarua cha kuijaza dunia!!

Kwa babu hakuna noma kabisa, Bibi DC siyo kwamba anajua login name tu bali hata password....

Siku tukionana nitakupa namba yake umuulize...kwani wadau hawakawii kusema kuwa babu ni mwongo!!

Halafu wewe...Umeweza nini hadi ukaja na story hii....au kuna ka ukweli ndani yake??

Babu DC!!
 
kweli utu uzima dawa,kama si babu DC mbinu kama hiz za kukwepea vihunzi siku nikikamatwa ningezijulia wapi.Nimejifunza kitu toka kwa babu.


Hahahahahahah,

Yaani na utundu wako na vituko vyote hujui kuwa mwenye kisu kikali ndiye atakayekula nyama tena ile cut iliyonona???

We achana na soo la kufumaniana bwana.....

Babu DC!!
 
Nilipata hofu kwa sababu nilijua kinachofuata ni kutuma salamu za R.I.P!! Babu hataki ya mambo ya kuwapoteza wajukuu kabla

hawajamaliza kibarua cha kuijaza dunia!!

Kwa babu hakuna noma kabisa, Bibi DC siyo kwamba anajua login name tu bali hata password....

Siku tukionana nitakupa namba yake umuulize...kwani wadau hawakawii kusema kuwa babu ni mwongo!!

Halafu wewe...Umeweza nini hadi ukaja na story hii....au kuna ka ukweli ndani yake??

Babu DC!!

nimefurahi sana kusikia bibi DC anaijua hadi password.
kuhusi hayo mengine wala usiwe na shaka wala R.I.P haihusiki upande wangu kwa sasa niko makin.
msalimie bibi DC.
 
Hahahahahahah,

Yaani na utundu wako na vituko vyote hujui kuwa mwenye kisu kikali ndiye atakayekula nyama tena ile cut iliyonona???

We achana na soo la kufumaniana bwana.....

Babu DC!!

babu kweli mm nina utundu na vituko:A S embarassed: lkn utundu wangu lkn na utundu wangu wooooooooooooooooooooote sijawahi kufanya mambo ya kulisaliti penzi langu ndo mana pia hata mbinu za kujitetea ktk hayo mambo sina,yaan ktk hayo mambo mm ni limbukeni.
 
nimefurahi sana kusikia bibi DC anaijua hadi password.
kuhusi hayo mengine wala usiwe na shaka wala R.I.P haihusiki upande wangu kwa sasa niko makin.
msalimie bibi DC.

Poa Cheusi,

Bibi ni nusu ya babu na ndyo maana tunashikiriana kuwalea wajukuu vizuri!!

Mambo yenu ya kufichana fichana ndiyo yatawafanya msababishe wenzenu wakimbizwe ICU au waende jumla!!

Kwani unadhani akija akasoma ukumbini kwako atakuta nini??

Babu DC!!
 
babu kweli mm nina utundu na vituko:A S embarassed: lkn utundu wangu lkn na utundu wangu wooooooooooooooooooooote sijawahi kufanya mambo ya kulisaliti penzi langu ndo mana pia hata mbinu za kujitetea ktk hayo mambo sina,yaan ktk hayo mambo mm ni limbukeni.

Hongera sana Cheusi,

Mwombe tu Mungu yasikukute...Ila yakikukuta hata kama ni PM ya kulazimishwa lazima neema ikushukie hata kama itatoka kwa shetani ili ukikwepe kitanzi!!

Best wishes,

Babu DC
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom