cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
- Thread starter
- #21
eri ya mwaka mpya kwako pia dearhahaha Cheusi umenifurahisha sana! "Tukairushe chitchat mkuu"lolz...Heri ya mwaka mpya
eri ya mwaka mpya kwako pia dearhahaha Cheusi umenifurahisha sana! "Tukairushe chitchat mkuu"lolz...Heri ya mwaka mpya
ulikuwa wapi wewe??Kwi kwi kwiiiii huishi visa weye
Kwi kwi kwiiiii huishi visa weye
sheeeeeeeenzi nimepoteza muda wangu woote huu kusoma hii SHIGONGO kumbe mwisho wa siku ni ndoto.
:focus: shemegy hawezi kukuacha inategemea labda ashawahi kukutongoza kupitia pm na ukalainika.
hivo kachanganyikiwa.
tehe tehe tehe tehee!!sheeeeeeeenzi nimepoteza muda wangu woote huu kusoma hii SHIGONGO kumbe mwisho wa siku ni ndoto.
:focus: shemegy hawezi kukuacha inategemea labda ashawahi kukutongoza kupitia pm na ukalainika.
hivo kachanganyikiwa.
ah ah ah lol u made mai dei,nadhani amekuwa akisoma threads zako,na maybe aliwahi kukutongoza ukakubali as u said,au amekuwa akikerwa na huyo cheusi mangala,so kashangaa mtu anaemkera ndo mkewe mpz,nadhani nimejitahidi kujibu na kuchambua ndoto yako kama joseph(bible)au tukamuulize sheikh tafsiri ya ndoto hiyo? but uwazi na ukweli ni muhim,mm popote na yyte anaenifaham niite tu pearl walaaaaaaaaaaaaaaa sina tatizo kabisaaaaaaaaa
Afadhali ni ndoto maana nshaanza kutoa machozi kwa niaba
Loh sijui kwanini sijapotea njia.
loh heri ni ndoto
siku watu wakinijua mimi sijui itakuweje
Aisee...Now Iam breathing again!..Uhhh, and the POPE must know this!
Unajua kuwa umeandika kitu ambacho ni tishio sana kwa baadhi yetu?...I think u know what i mean!
loh heri ni ndoto
siku watu wakinijua mimi sijui itakuweje
nina mpango wa kuja na id mpya yenye utulivu.
na ww kisa cha kupotea hivyo ni nin jamani,kwa kweli nilikumiss sana na nimefurahi kukuona mpendwa wangu
hahaha Cheusimangala, vituko vyako hivi hivi ndo vilivyomfanya shemeji kazimia kwenye ndoto. Hebu fikiria ikitokea live si ndo utamuua kabisa shemeji yetu? punguza vituko bana.
Si bora wewe ni ndoto!
Mimi juzi imenitokea live....
mtoto wangu..tototundu kaja mbio
niko na shemeji yenu akatangaza mbele ya baba yake
"mum..we ndo Black Rose?" ........
baba yake akauliza "Nini"....nikamkazia macho mtoto.....kisha
nikamgeukia shem wenu " darling ..si unajua tena hadithi za watoto wanazofundishwa nursery school"?
basi shem wenu akaendelea kucheki Man U na Man city game...Nikashusha pumzi!
jasho lilinitokaje!?
uwiiii sipati picha,jasho lazima likutoke,
lkn ww hata mtu akikujua sio kama mm,mm huku sijui kwa nin niko hiv kusema ukweli hata ukikutana na mm huwez dhan kuwa ndio cheusie kwanza nina sura ya upole ajabu na kwanza uraian sio muongeaji watu wengi wanajua mm ni binti mpole.
Aisee...Now Iam breathing again!..Uhhh, and the POPE must know this!
Unajua kuwa umeandika kitu ambacho ni tishio sana kwa baadhi yetu?...I think u know what i mean!
Kwani unadhani kutokuta ufahamike ni kwa vile mcharuko?uwiiii sipati picha,jasho lazima likutoke,
lkn ww hata mtu akikujua sio kama mm,mm huku sijui kwa nin niko hiv kusema ukweli hata ukikutana na mm huwez dhan kuwa ndio cheusie kwanza nina sura ya upole ajabu na kwanza uraian sio muongeaji watu wengi wanajua mm ni binti mpole.
loh mimi ndo maana wkend huwezi nikuta huku. Suppose upo mahali ukiacha simu umeenda toilet ? Balaaasi bora wewe ni ndoto!
Mimi juzi imenitokea live....
Mtoto wangu..tototundu kaja mbio
niko na shemeji yenu akatangaza mbele ya baba yake
"mum..we ndo black rose?" ........
Baba yake akauliza "nini"....nikamkazia macho mtoto.....kisha
nikamgeukia shem wenu " darling ..si unajua tena hadithi za watoto wanazofundishwa nursery school"?
Basi shem wenu akaendelea kucheki man u na man city game...nikashusha pumzi!
Jasho lilinitokaje!?