Kungwi wako Ashadii ushamweleza ndoto hii?kasemaje?najuta kuwa mcharuko jf coz hata siwez kuwa proud kuwa mm ndo cheusie huko uraiani no wonder watu wanazimia.
Nsharukwa roho juu! Umeniudhi sababu umenipiga chenga ya mwili, hate you for that!
Uzuri mie hakuna atakayeamini kama naweza kuwa ndie huyu.
Hahahahaha lol! Mume anamtongoza Mke kupitia JF. Fikiria hilo varangati lake siku hiyo watakayoamua kukutana. Sijui ni yupi atamuona mwenzie ni "mcharuko" zaidi.
Napita tu
Dah..kaka umetisha,maana wakati nasoma nacheka kama chizi,ngoja niku PM
.....hahahha kumbe ndoto!! Mie kuna siku nilimfuma hubby live akichat JF........sikujua kama naye ni active member. Ila nimejikausha kana kwamba sijui JF.
Dah bonge la mtunzi mzuri!!big up mengine naona ni mawazo ila ulivyopangilia nimekupa salute!!
Kwanza sidhani kama unawakubali wanaume kiurahisi (labda najidanganya, ila ndio ninavo hisi).
Atakua amezimia sababu anamchukia sana cheusimangala na kila siku anamtakia vitu vibaya kama kufiwa na mume hivi.lol
Yaaani Cheusi wewe.... Dah! Bado roho yangu inadunda! lol
Cheusi natamani ingekuwa kweli sijui kwanini? Kuna funzo nahisi tungepata hapo...i wish!! lol
Kwani hizi ID zinaficha nini mpaka vijasho viwatoke?
Kungwi wako Ashadii ushamweleza ndoto hii?kasemaje?
zinaficha yaleee radhia seweety aliyotuchamba nayo juzi,wengine sura mbovu ndo maana tunatetemeka tukijulikana.
Sasa mtu wako anaekujua tayari nae unaogopa asijue kilichopo nyuma ya avatar?
Enhe , kwanin hatakiwi kuvijua?yeye vilivyopo nyuma ya avatar,asivyovijua ni vilivyoko mbele ya avatar.
cheusie kuanzia sasa nitakua nakutizama kwa jicho la tofauti kidogo.............................!unaonekana ukiamua unaweza kuwa mtunzi mzuri sana...................!sikuwahi kuwaza kama unaweza kutunga kitu kizuri namna hii..............hichi ni kipaji.......................!story yako mbali ya kwamba imenifanya nicheke sana..................!imenifundisha......................hiki ulichokiandika umekipotray kama ndoto lakini kinaweza kutokea kweli.........................!hapa kuna somo kubwa nimejifunza...............................!heshima kwako.
dah! Bora ilikua ndoto