Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,093
- 1,261
Aibu iliyoje.....nafikiri sheria hairuhusu hili.....siku zote nilifikiri wanajeshi wa Tanzania wana nidhamu...ti hihihihiih...pole...tunawafahamu hawana nidhamu.
Kuna tofauti kati ya kuadhibiwa na kupigwa, huyo amepigwa kama angeadhibiwa walikuwa wana uwezo wa kumkamata na kumpeleka kunakohusika, btw wajeda ni wataalamu wa kunyoosha tabia though mbinu wanayotumia sio nzurindio tatzo letu watz tunakuwa wa kwanza kuvunja sheria ila tukiadhibiwa hatuishi kulalama et tunaonewa, tunanyanyaswa....
Analianzisha mwenyewe alafu ikatokea ukamshinda, wanakuja kikosi kizima na kupiga yoyote yule kikubwa uwe unaishi jirani na eneo ambapo tukio limetokea, jamaa approach yao ni kama nyumbu huwa mmoja akiamua kuvuka mto hata kama kuna hatari wote wanafuataAibu iliyoje.....nafikiri sheria hairuhusu hili.....siku zote nilifikiri wanajeshi wa Tanzania wana nidhamu...ti hihihihiih...pole...tunawafahamu hawana nidhamu.
Sometimes uwa najiuliza watu wengine wanafanya makosa au kwa kukusudia au ngoja nifanye kwani watanifanyaje? Mimi kama mimi sioni mtu kama huyo utamsaidiaje ili ajue kuvunja sheria kwa makusudi ni kosa kubwa sana, na kwa ufahamu wangu na niko sahihi asilimia 100 hatakaa tena arudie ilo kosa la kupark barabarani. Kila mara atakapokumbuka kipigo hicho atatafuta wapi panaruhusiwa kupark. Kwa hiyo sometimes nchi hii inahitaji watu kama wanajeshi wawatie adabu watu wote wanaofanya vitu vya hovyo hovyo bila kujua wanaleta madhara kwa wengine
Mkuu.. kwa mimi ninavyofahamu inchoate offences ni matendo ambayo si makosa kamili ila yanakua ni hatua moja wapo ya kuelekea kwenye kosa. Crime ni unlawful act ambayo ina adhabu yake.
Hukunijibu swali langu. Na hata ilo la kutaka apelekwe tarifi nilipendekeza. Kwa hiyo kwa maoni yako ulitaka bado waendelee kupoteza muda waite polisi waje kumchukua na kumpeleka trafiki ili apigwe faini? Na je unajua anaweza kukataa kulipa faini na akataka apelekwe mahakamani, je akishapelekwa mahakamani basi hao wanajeshi waitwe tena kuja kutoa ushaidi muda uendelee kupotea. Mimi ingawa siyo mwanajeshi kama unavyotaka kuniita adhabu aliyopewa ni mhafaka na najua hatakaa hata siku moja kurudia kosa ilo, na mimi namwona ni mtu mzuri maana baada ya funzo amejileta kwetu kutwambia ehee!! jamani msifanye makosa kama yangu vinginevyo mtaambulia adhabu kama niliyopata na kama wewe Dina ulikuwa na nia ya kufanya hivyo hutafanya hivyo kwa kupitia somo la Supu Ya Mawe
Na hii ni kwa sababu watendaji wetu nao hawako serious...assuming wangekuwa makini kusimamia sheria zao unafikiri huyo bwana angepaki sehemu isiyo rasmi? Manake na yeye angejua kabisa kuwa nikiacha gari hapa waheshimiwa wanakula elfu 50 kama faini (mfano), wala hatafanya makosa ya kipuuzi. Sawa kwa case ya huyu mleta mada, naye hatarudia kwa kuwa atakuwa anakumbuka hicho kipigo...amejifunza kwa njia ngumu...
Wanajeshi mie huwatamani kwenye sehemu za kiutendaji ambako mambo unaona kabisa hayaendi na watu wanafanyia kazi kimazoea. Maamuzi yanachukua miaka huku watu wanaumia...nabaki kujisemea labda wanajeshi wangetuonyesha njia...Ila sasa hofu yangu ni hapo wanapotumia ubavu zaidi kuliko akili ndio wanaponitisha...watatupelekaje puta?
Pole mkuu, lakini yote haya yaonyesha hawa wanajeshi hawajui wala kutambua wajibu wao nchini, kama wangekushikilia na kuwaita ma traffic police wakugonge faini hapo wengine tungeelewa, sasa kukupa mkong'ong'oto namna hiyo na kumsukuma mama watoto bila huruma hapo wamevunja sheria, na wewe ulitakiwa ukashtaki polisi, pamoja na kwamba kosa lako ni la barabarani wao wanajeshi wangeshitakiwa kwa kosa la kushambulia na kudhuru, bado wabongo hatujui sheria na haki zetu.
Nalaani kabisa tendo hilo li kinyama la wanajeshi wetu, kama ni kweli...
How would you feel ukiwa umefanyiwa ivi wewe?
How would you feel kitendo hichi akafanyiwa mtoto wako tena kipigo hicho kikampelekea kupata madhara makubwa ya mwili?
Ndo maana kuna sheria zimewekwa kwaajili ya watu wa aina hiyo.... ni rahisi sana kufikiria kuwa "haitaniuma kama ni mwanangu" kifikra ila ni ngumu sana kivitendo.hata angekuwa mtoto wangu haitaniuma najua amevunja sheria ndio maana anaadhibiwa..... Jeshin kuna kauli kama hii " ukifuata maelekezo hakuna atakae kuumiza lakin usipofuata maelekezo utaumia." unajua sku hiz watu wamekuwa mabush lawyer vibaya mtu anaona kabisa kibao no parcking halafu unaenda kupak hiv unafikir ufanywe nn??
akafungue tu kwani wao ni nani ......wana mambo ya ajabu sana hao
Ndo maana kuna sheria zimewekwa kwaajili ya watu wa aina hiyo.... ni rahisi sana kufikiria kuwa "haitaniuma kama ni mwanangu" kifikra ila ni ngumu sana kivitendo.