Earversdroping kama sijakosea,ni kinyume cha sheria unless otherwise justified by National security purposes....Na kwasababu National Security ni yenyewe inahusisha kuwalinda wenye kuhodhi madaraka,bila kujali udikteta ama ufisadi wao,then udikteta/ufisadi unakuwa ndo National security concerns zenyewe za watawala na wazalendo ndo wanakuwa target,ndo ukweli wenyewe huo,we'll wait and see for sure,lakini mfano wangu ni kwamba,hata usalama wa Taifa wa serikali ya kidikteta,ni kulinda usalama wa dikteta na kufacilitate udikteta,same with ufisadi etc,inategemeana na sera za watawala...Sasa hapo jazia.
Acha uongo wewe na dhihaka zako. Hilo bandiko lako tumeshaliona siku nyingi sana likiwa linasambazwa kwenye mtandao kwa nia mbaya ya ushindani wa kibiashara. Ingia kwenye website ya Vodacom http://www.vodacom.co.tz/docs/docredir.asp?docid=3389 ujue gharama halisi wanazolipisha usitufanye wajinga sisi wote hapa JF.
Acha uongo wewe na dhihaka zako. Hilo bandiko lako tumeshaliona siku nyingi sana likiwa linasambazwa kwenye mtandao kwa nia mbaya ya ushindani wa kibiashara. Ingia kwenye website ya Vodacom http://www.vodacom.co.tz/docs/docredir.asp?docid=3389 ujue gharama halisi wanazolipisha usitufanye wajinga sisi wote hapa JF.
Uzuri ni kwamba Mwanakijiji HAJAMLAZIMISHA MTU kuachana na VODACOM.Na kama mnaopinga hoja yake mngesoma vizuri title ya hoja hiyo,amenza na neno WANAHARAKATI...So,if you're not mwanaharakati,haina haja ya kuendeleza malumbano haya.Na hata kama u-mwanaharakati,hujalazimishwa kuhama.Kumtaka Mwanakijiji atoe maelezo zaidi ya tahadhari aliyokwishatoa ni sawa na kutaka kuendeleza malumbano yasiyo na tija.
Wenye kuelewa mantiki yake tumeelewa,na tutazingatia tahadhari yake.Wasieoelewa wanaweza kuuliza (badala ya kupinga) waleleweshwe zaidi.Wasiotaka kukubaliana na tahadhari hiyo,regardless ni wanaharakati or not,ni poa tu.Ndio maana hata tunapolaani ufisadi unaolelewa na CCM kuna wenzetu wengine wanaotuona kana kwamba tuna chuki binafsi na chama hilo mufilisi.
kaka nadhani umeshajifanya mjinga...kwenye link yako kuna hayo maneno yanasema;
All rates quoted are in TSH exclusive of taxes, applicable 24 hours a day or as per indicated Time Bands.
Nafikiri wewe ndo mjinga kwa kutofanya mahesabu. Fanya mahesabu uweke na VAT uone kama kilichosemwa hapo juu ni sahihi.
I am not sure about his reffred price but your price you reffering to is excluding VAT and other excise duty which could justify his pricing urgument.
The way foward we just need to restrict all unethical people to own a pie in Telecommunication companies due to security resorns
Nafikiri wewe ndo mjinga kwa kutofanya mahesabu. Fanya mahesabu uweke na VAT uone kama kilichosemwa hapo juu ni sahihi.
Mkuu Leokweli,
Kwenye rates za simu inaongezeka VAT tu. Kwahiyo ukiweka na VAT utakuta kuwa kilichosemwa kwenye hiyo post ya jamaa ni uongo. Kama huyu fisadi RA ameamua kutumia Vodacom kwa kuwashirikisha vibaraka wake (IGP, DCI etc) kunasa maongezi ya watu wanaopambana na ufisadi nchini, basi hii iwe ni sababu kubwa na ya msingi sasa kuuhama huu mtandao. Kama iko hivyo iwekwe wazi watu tuelewe issue isiwe gharama maana hiyo itakuwa ni kibiashara zaidi na hapo mtu ana uhuru kuchagua anachopenda.
Na ndiyo tunacho taka hicho. Kama ulivyo sema kama ni wana tumia mtandao wao kuingilia privacy za watu basi hiyo ni hoja nzito lakini kuhusu gharama ni maamuzi ya mtu. Sema hata huyo mwanakijiji mwenyewe hajasema kama sababu yake ya kusema tususie Vodacom ina husiana na privacy issues au la. Aliye anzisha mjadala yupo ngoja tumsikie na wengine waache kujidai ni wasemaji wake. Tunacho taka ni sound reasons tu lakini hilo la rate siyo sababu.
Mkuu Leokweli,
Kwenye rates za simu inaongezeka VAT tu. Kwahiyo ukiweka na VAT utakuta kuwa kilichosemwa kwenye hiyo post ya jamaa ni uongo. Kama huyu fisadi RA ameamua kutumia Vodacom kwa kuwashirikisha vibaraka wake (IGP, DCI etc) kunasa maongezi ya watu wanaopambana na ufisadi nchini, basi hii iwe ni sababu kubwa na ya msingi sasa kuuhama huu mtandao. Kama iko hivyo iwekwe wazi watu tuelewe issue isiwe gharama maana hiyo itakuwa ni kibiashara zaidi na hapo mtu ana uhuru kuchagua anachopenda.
In tanzania we charge 10% as excise dute because kupiga simu ni starehe. Ninazani sababu ya msingi ni kumwuliza tu aliyeanzisha mada afafanunue zaidi ili mada yake isionekane kama ina motive za ushindani wa kibiashara.
But i dont think aliyeanzisha mada analenga ushindani wa kibiashara because Makampuni mengi yanapenda kukata cost kwahiyo swala la bei lingekuwa tatizo wangekuwa wamehama siku nyingi I gues they are happy with the products and for that we will let the free market to work.
Kwasasa serikali inatakiwa itoe order kwamba wale wote wanaotuhumiwa na ufisadi wasiluhusiwe kufanya any transfer of Capital nor share until their name are cleared
On other way kama Vodacom iki lose 50% ya market share yake itakuwa lahisi kwa majority shareholder kumshinikiza RA atoke kwenye Biashara so I think this might be mwanakijiji urgument to boycott Vodacom but I think Usilo lijua ni kama usiku wa Giza so mwankijiji atufafanulie
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.
Nilikuwepo.
M.M.
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.
Nilikuwepo.
M.M.
Masatu na Mwanafalsafa 1... Someni hapa
This is a fact, you may verify yourself. Written by Voda customer who is tied of vodaVODA CUSTOMERS
Calling Voda to Voda is Tshs 360 per minute. Calling from Voda to other networks in the country is Tshs 560 per minute. Voda SMS to all networks is Tshs 60 per sms.
Ok,
Calling Tigo to Tigo Tshs 300 per minute. Calling from Tigo to other networks in the country is Tshs 360 per minute. Tigo sms to all networks is Tshs 45 per sms.
Calling Zantel to Zantel is Tshs 250 per minute. Calling from Zantel to other networks in the country is Tshs 275 per minute.
Just by looking above assuming calling/usage time is constant, Tigo customers would spend more than 40% or 50% (depending on other packages listed below) less compared to Voda customer whereas Zantel customer would spend less than 55% compared to voda customer.
Assume Voda customer use 100,000 per month, then Tigo would use less than Tshs 60,000 whereas Zantel customer would use just some shs above 40,000.
For a voda customer spending Tshs 50,000 per month, Tigo customer would spend a range of Tshs 20,000 to 30,000 per month, whereas Zantel customer could spend even less.
Other packages!
For your information with Zantel you can call zantel customers for 24hrs with only Tshs1500. only that zantel customers are not as many.
- Tigo has extreme call package whereby you subscribe Tshs 1500 and you call all Tigo number from 6.00am to 6.00 pm. Comparatively Voda has the same service called Chizika but you NEVER be able to subscribe whenever you want-if you think I am joking try *147# and dial (which is a way to subscribe to free unlimited call for 12hrs from 6.00am) to see if you will get through. Definitely you will be told to try again tomorrow! You will be very lucky if you get through. Friends have been saying for every 1000 people one gets through! Anyway Vodacom does not want you to know this service because they have not even advertised it. Have you heard or seen chizika advert anywhere if it is not only one found along Ali Hassan Mwinyi road in Dar es Salaam?
- Tigo has sms extreme package whereby you subscribe Tshs 500 and send sms to ALL networks for 12hrs from 6.00am. Voda despite of charging Tshs 15 more on every sms, it does not give any releaf package in this area. Zain (not Zantel) has the same package by subscribing Tshs 400. It is not my intention to bring in Zain now since its calling cost is almost like voda's
- With Tigo you can call for one shilling from 6.00pm to 5.59am to tigo to tigo. So from extreme call you enjoy during the day, in the evening you have another relief. Huree! Voda has almost the same relief but this one starts at 10.00pm to 5.59am. Despite of that "dead night time" you have to try yourself to see if you can get through a call. It is not easy even you have an emergency!
- With Tigo you can call tigo subscribers for one shilling from Friday 6.00 to Monday 5.59am! By that Time, voda customers are calling voda subscribers for normal rate Tshs 360 and non voda subscribers for Tshs 560! ALAS VODA!
- Even with Zain (Celtel), one is far better off compared to voda!
Some rumors created which make people not to shift.
1. Voda has very extensive network and is reliable! Fact check: If you are based in Dar or another city and you call most networks with certainty from Tigo, Zantel or Zain then the above rumor is cheating people! If voda was reliable it could be reliable when you subscribe to chizika and when you make even emergency call from 10.00pm.
2. Remember, you don't travel so much in the interior parts of the country. If you are sure of been where you are for 11months of the year without going to interior parts of the country, then you don't need voda. You can reach interior people with whatever network they may be through Zantel, Tigo or even Zain with much cheaper rates.
Advise:
1. We don't have to be fool. We are incurring much much much higher cost by being voda subscriber compared to Tigo, Zantel and somewhat Zain friends! I don't think if there will be any person on earth except fool who will be happy and comfortable to pay higher rate for less! This is what voda customers we are getting!
2. Corporate customers who pay for their employees airtime could save up to 40% or 50% if encourage their employees to shift to cheaper networks. Company may leave airtime rates (they give to employees) at where they are and they are will minimize to a great deal number of complaints on air time increases by employees. If you are giving your employee an airtime of Tshs 50,000 in Voda and he/she complains, with Tigo, Zantel or even Zain (somewhat) complaints will be very very minimal!
KAMA HAMKUPATA JIBU LA KWA NINI MZEE MWANAKIJIJI ANAWATAKA WATU WAIKIMBIE VODA BASI WALIMU WENU WALIKUWA NA KAZI SANA... HAHAHAHA NI HAYO TU WAKUU WANGU
Mheshimiwa Masatu sisi wenye kuelewa tulishaelewa zamanii na ndo mana tukaachana na hiyo Voda yenu ambayo unajaribu kuitetea lakini hatukulazimishi kuihama inawezekana kabisa wewe unafurahia unyonyaji unaofanywa na VODACOM kwa walalahoi wa Tanzania na inawezekana unatete kwa sababu na we unahisa zako huko au unafaidika kwa namna moja au nyingine na hao vodacom lakini kama una uchungu na pesa yako unayoitolea jasho hakika huwezi kuwa mwanafamilia wa VODACOM maana ni maumivu kwa kila kitu iwe SMS, UPIGE SIMU ni balaa tu...... Njooni tiGO kunaraha huku jamani hao Voda wanawaibia kimya kimya..... Am out kaka kama una masikio ya kusikia na usikie na kama una macho ya kuona na uone lakini kama ni kipofu na kiziwi pia endelea kuumizwa na hao Voda wako