Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,836
Mtandaoni kuna picha na video ya muwindaji Mmarekani ambaye ana brag kuua Mamba anayesema ni mkubwa kuliko wote
Sasa watu wanaanza kutoa mapovu mtandaoni kuwa Serikali imefumbia macho ujangili kwa kuwa ni mzungu blah blah blah
Hivi kweli hawa watu hawajui kuwa kuna utalii wa kuwinda na watu wanalipa vibali vya bei juu kufanya huo utalii
Kuna wanyama ambao wapo hatarini kutoweka na hao huwa vibali vyake hakuna, sasa mamba sio mnyama ambaye yupo hatarini kutoweka,. Mamba wapo wengi sana na tunasikia hadi wananchi na wabunge wakilalamika baadhi ya maeneo kuwa na mamba wengi na kuua wananchi
Sasa watu wanaanza kutoa mapovu mtandaoni kuwa Serikali imefumbia macho ujangili kwa kuwa ni mzungu blah blah blah
Hivi kweli hawa watu hawajui kuwa kuna utalii wa kuwinda na watu wanalipa vibali vya bei juu kufanya huo utalii
Kuna wanyama ambao wapo hatarini kutoweka na hao huwa vibali vyake hakuna, sasa mamba sio mnyama ambaye yupo hatarini kutoweka,. Mamba wapo wengi sana na tunasikia hadi wananchi na wabunge wakilalamika baadhi ya maeneo kuwa na mamba wengi na kuua wananchi