Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

kipumbwi

JF-Expert Member
Feb 3, 2015
3,057
8,726
Tazama kwanza Mama huyu akipelekwa kwenda kutumikia kifungo Cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala miezi miwili iliyopita.
20231227_201526.jpg
NB- tuzingatie na kutafakari pia wawindaji waliomuua mamba wamepigwa marufuku kufanya uwindaji nchini kwao.
Screenshot_20231228-094806.png

Sasa twende kwenye tukio lilisambaa duniani kutokea Tanzania kwa mzungu kuua mamba mwenye umri wa zaidi ya miaka 100.
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.

Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.

Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.

Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?

20231227_140101.jpg



===

Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.

Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.

Ameandika haya;

“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.

This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.

Just a crazy testament to the lethality of the head.

PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”

Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?

Bongo 5

Pia soma = Mzungu ana nyaraka zote za kumruhusu kuwinda Mamba, TAWA wamkamate waone!
 
Labda aña vibali.....asikilizwe kabla kukurupukaa.....mamba wako wengi sana...ukiomba kibali na kulipia unaua tuu wapungue

Kwa akili yako ya kawaida,kumuua mamba kama huyo kwenye hifadhi ni sawa?!! Unaweza kukadiria imechukua miaka mingapi mpaka akawa na ukubwa huo?!!

Kama angebaki na akajengewa eneo maalumu kwa ajili ya watu kwenda kumuona ingekua ni hasara kwa Taifa ama faida zaidi?!! Baada ya huyo kuuliwa,kuna wengine wenye ukubwa huo?!! Kama wapo,nao hawatauliwa?!! Aliemuua anaenda mfanyia nini?!!!! Hicho anachoenda kukifanyia- Taifa linanufaikaje?!!

Tuache kutetea upuuzi na uharibifu wa Mali asili
 
Kwa akili yako ya kawaida,kumuua mamba kama huyo kwenye hifadhi ni sawa?!! Unaweza kukadiria imechukua miaka mingapi mpaka akawa na ukubwa huo?!!

Kama angebaki na akajengewa eneo maalumu kwa ajili ya watu kwenda kumuona ingekua ni hasara kwa Taifa ama faida zaidi?!! Baada ya huyo kuuliwa,kuna wengine wenye ukubwa huo?!! Kama wapo,nao hawatauliwa?!! Aliemuua anaenda mfanyia nini?!!!! Hicho anachoenda kukifanyia- Taifa linanufaikaje?!!

Tuache kutetea upuuzi na uharibifu wa Mali asili
Vibali wanyawa wote vipo kila siku wanakata kwenda kuwinda......by the way ni.kenya na jamaa ana vibali vyotte alim target huyo huyoo mkubwa......amemlipia !
 
Kwa akili yako ya kawaida,kumuua mamba kama huyo kwenye hifadhi ni sawa?!! Unaweza kukadiria imechukua miaka mingapi mpaka akawa na ukubwa huo?!!

Kama angebaki na akajengewa eneo maalumu kwa ajili ya watu kwenda kumuona ingekua ni hasara kwa Taifa ama faida zaidi?!! Baada ya huyo kuuliwa,kuna wengine wenye ukubwa huo?!! Kama wapo,nao hawatauliwa?!! Aliemuua anaenda mfanyia nini?!!!! Hicho anachoenda kukifanyia- Taifa linanufaikaje?!!

Tuache kutetea upuuzi na uharibifu wa Mali asili
Unajua tofauti kati ya NATIONAL PARKS, GAME RESERVE, CONTROLLED AREA na FOREST RESERVES????

Kama amemuwi d s kumuua basi ana kibalu na hapo itakuwa mkatika eneo la uwindaji (Game reserved area. Siyo ktk National Park).
 
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.

Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.

Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.

Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?



===

Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.

Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.

Ameandika haya;

“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.

This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.

Just a crazy testament to the lethality of the head.

PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”

Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?

Bongo 5
Huyu mdudy akikuweka kwenye target yake hutoki..lazima uwe breakfast yake
 
Back
Top Bottom