Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,014
- 957
- Thread starter
- #41
mtoa mada umechokoza vilaza wa UDDHM unaona wanavyokushambulia, uddhm vilaza kwl hawasom changes in time, bado wanaishi enzi za mwalimu
Eti wenyewe wanasema chuo cha kiumeni!!kiumeni ndio migomo hisiyokuwa na msingi??
Kama mwisho wa mgomo ni mazungumzo,kwnni musianze na mazungumzo kwanza!!AU munaona raha kugoma!!NYAMBAFU NYIE...