Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,014
- 957
Kwa kweli hawa majamaa wana-raha kwelikweli,manake katika miezi mi4 ya semester 1,wenyewe wanasoma miezi mi2 tu.Miwili yote hekaheka za migomo...!nahisi Tanzania mzima wao ndio wananyimwa haki zao!!lakini hakuna!!hii itakuwa enrollment ya VILAZA i.e SENETOR na wengineo,hawa ndio haswa wanasababisha chuo kisitawalike.
As-salaam alykum VILAZA WOTE WA UDSM.
As-salaam alykum VILAZA WOTE WA UDSM.