GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
"Watoto wetu huku Mbagala kwa Makusudi kabisa wakimuona Mtu tu mwenye Ugonjwa huu wa Macho wa Red Eyes wanaenda Kumshika na hata Kugusisha mikono yao na Macho ya hao Wagonjwa kisha kujigusa katika Macho yao ili Waugue na watege kwenda Shuleni" amesema Mzazi akiongea muda si mrefu na Mtangazaji wa Kipindi cha Asubuhi cha Redio U-FM
Hivi kwanini Wanetu na. Wadogo zetu wa sasa hawapendi Kusoma na wanaichukulia Elimu kama Mjomba na Shangazi yao?
Yaani upuuzi huu angeufanya Mwanangu na nikaujua nina uhakika mpaka muda huu GENTAMYCINE ningekuwa nimeshayaanza Maisha yangu mapya katika Majengo ya bure ya Rais Samia ya Ukonga, Keko na Segerea.
Hivi kwanini Wanetu na. Wadogo zetu wa sasa hawapendi Kusoma na wanaichukulia Elimu kama Mjomba na Shangazi yao?
Yaani upuuzi huu angeufanya Mwanangu na nikaujua nina uhakika mpaka muda huu GENTAMYCINE ningekuwa nimeshayaanza Maisha yangu mapya katika Majengo ya bure ya Rais Samia ya Ukonga, Keko na Segerea.