Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 4,953
- 6,071
Kwa China na Asia yote ni kuanzia GPA 3.0 na uwe na experience na kazi, ila kwa ulaya mashariki kuanzia GPA 3.5 kwenda juu na uzuri wa kule unaweza kusoma then jioni unabeba box, ubaya wa China ni shule shule tuuMkuu kusoma nje wanataka GPA kuanzia ngap kwan