Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,037
Wadau nawasabahi.
Kutokana na ufaulu mkubwa wa wanafunzi wa kidato na cha 6 kupanda sana kuanzia awamu ya 4 mpaka hii ya 6 nimekuwa najiuliza kuna nini kinachosababisha ufaulu kuwa mkubwa ili hali wanafunzi hao hao wakifika vyuoni wanafeli vibaya mfano Law School na Muhimbili?
Je, huu ufaulu ni wanafunzi kuwa na upeo mkubwa wa akili au ni uchakachuaji wa mitihani unaofanywa na necta ili kupaaisha ufaulu wa wanafunzi na kuwafurahisha wazazi?
Kutokana na ufaulu mkubwa wa wanafunzi wa kidato na cha 6 kupanda sana kuanzia awamu ya 4 mpaka hii ya 6 nimekuwa najiuliza kuna nini kinachosababisha ufaulu kuwa mkubwa ili hali wanafunzi hao hao wakifika vyuoni wanafeli vibaya mfano Law School na Muhimbili?
Je, huu ufaulu ni wanafunzi kuwa na upeo mkubwa wa akili au ni uchakachuaji wa mitihani unaofanywa na necta ili kupaaisha ufaulu wa wanafunzi na kuwafurahisha wazazi?