Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Ndugu zanguni naomba msaada wenu kumekuwa na tabia ya wnafunzi kuvaa vinguo vinaonyesha maumbile yao kabisa ama nguo za ndani..na hili limekuwa likitokea na limetokea juzi kwenye tamasha la do me!!!naomba wazazi mtusaidie kuchangia na nyie wahusika watamasha haki kuwaruhusu kufanya mapenzi hadharani??????