Sio kiivo wakuu.
Mbona mi sikuwaona hao watoto?au ni vile vimini vyenye mpasuo ndio mnaita kukaa uchi?
Haya wa kina Bushmen mtasema wanafanya nini kama hawa dada zetu mnasema wanakaa uchi?
Sio kiivo wakuu.
Mbona mi sikuwaona hao watoto?au ni vile vimini vyenye mpasuo ndio mnaita kukaa uchi?
Haya wa kina Bushmen mtasema wanafanya nini kama hawa dada zetu mnasema wanakaa uchi?
kwanza mwanafunzi na hayo mambo ya starehe wapi na wapi ka si umalaya tu? halafu mashule ya seminari yakiongoza kwa kupasi mtaanza minong'ono oooh maparoko wanawanunulia mitihani...
Originally Posted by amanigk
Sio kiivo wakuu.
Mbona mi sikuwaona hao watoto?au ni vile vimini vyenye mpasuo ndio mnaita kukaa uchi?
Haya wa kina Bushmen mtasema wanafanya nini kama hawa dada zetu mnasema wanakaa uchi?
AMANIKGK
WALIOKUWEPO WENGI TU ILA WENGI AWAKUWEZA KUWAONA MAANA ILIBIDI WAWALINGANISHE NA WAKUBWA KUWEZA KUWAPATA NA KUFANYANAO MAPENZI
WLIKUWEPO KULE NYUMA NA BAYA ZAIDI NA WISH UNGEPEWA HAJA NDOGO AU KUBWA UKAENDA CHOONI KULE NYUMA ;;;;UNGEONA WACHA NGUO KAMA UCHI WATU WALIKUWA UCHI WANAFUNGIWA CYLINDER ZAO ON TYM
kuvaa nguo fupi si ishara ya mapenzi wala umalaya .ila anayefikiria mapenzi baada ya kuona nguo fupi ama paja huyo ndio malaya.
Kila kitu kina wakati wake Nguo hizo ndefu zimeletwa na mzungu wala sio tamaduni zetu nitashangaa sana.
Tamaduni zetu ni zile za kuweka kakipande ka ngozi mbele na kuachia Tako nje na paja waziwazi sikuwahi kusikia ma babu zetu waliwakwa na tamaa enzi hizo na kuwaita wanawake wa enzi hizo ni malaya na sidhani waliwakwa na tamaa baada ya kuona takos za mabiti wao.
Huyo anayewakwa na tamaa kwa kuona tu sehemu zinazokaribia huyo ni malaya na kazi yake ni kuchora picha na kutathimini nini kinafuata .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.