Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 20,324
- 62,217
Sijui waliwezaje kufundisha ili darasa...View attachment 2499192
Siyo kwamba hawana akili Ila umaskini ni kitu kibaya sana kuna watoto kwenda tu shule wanatembea klm 7-9 bado safari ya kurudi na akifika nyumban kuchota maji na kaz kibao asubuhi safari ya shule iko palepale akifika darasan ni kulala tu kichwa hainasi kitu kwanza na shule yenyewe anaichukia.
Angalau wazaz wenye uwezo huwa wanawawekea watoto wao mazingira mazuri ya kusoma kazi kubwa ya mtoto inakua ni kijisomea tu na kwenda tuition mbalimbali, wengne wanafatwa na gari mlangoni, huwez kulinganisha matokeo yake na mtoto wa maskin ambae anasoma mazingira magumu

